Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,146
- 16,999
Siyo kikombe tu, wasipokuwa makini usishangae wakakosa top 4. Sababu kiporo cha city akishinda anamshusha nafasi ya nne. Hapo kuna hammer na united wanakuja kwa kasi ya ajabu....hii EPL hatubebi mazee, tusijipe matumaini hewa
NaiOna arsenal ikiishiwa pumzi.
Cc: Wacha1