Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Anawahifadhi kwa game ya BarcaC'mooooon Wenger inakuaje Campbell na Nacho wanaanzia nje?hii rotation ya leo duh ngoja tuone mkubwa anajua zaidi.
Anawahifadhi kwa game ya BarcaC'mooooon Wenger inakuaje Campbell na Nacho wanaanzia nje?hii rotation ya leo duh ngoja tuone mkubwa anajua zaidi.
Ni kweli aisee na arsenal ndio wameshakata tamaa. Red card siyo kabisaKuwa pungufu kwa aseno kumewaongezea spurs nguvu.
Usicheke lete maji jamani majirani hali zao ni mbayapoleni wapendwaa hahahaha
How's the game man? Kuna dalili za kutoa hiyo aibu??Officialy we're fucked up,hatuwezi kukomaa na Spurs hii tukiwa one man down duh so sad.
Spurs 2- 1 Arsenal
Looks like wanaweza kupata goli zaidi.