Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Hongereni watani maana hata hiyo moja si haba.
Wenger asipoondoka ubingwa tusahau, labda Emirates Cup!!!!
wakali wa kumbukumbu na rekodi mnakumbuka mara ya mwisho ni lini mlicheza na tottenham wakiwa wako juu yenu katika msimamo/league table???
We jamaa hii kauli imetoka kinywani mwako? Can't blive it, kwahyo nyie mmeshajitoa?Hii ligi mwaka huu kuna hatari ngoma ikaenda hadi mwisho game ya mwisho
sina hakika sana kama Lester wanaweza kuhandle pressure hasa ambapo kila mtu anawaona ni Real tittle contenders
maana ana fixture nyepesi on PAPER lakini timu ndogo saivi zinawachukulia kama BIG GUNS wanaingia na set up ya kuwazuia wasifunge, point moja timu ndogo kuipata kwa lester ni MASSIVE kwa miez hii
Spurs nae baada ya leo wanayo kazi ngumu anacheza na Borrusia dortmund ndani ya wiki mbili, ana Manure,liverpool,stoke,chelsea na WBA
safari bado iko wazi lakini UKWELI NI KUWA UBINGWA NI WA LEICESTER KUUPOTEZA mwenyewe
Spurs toka miaka ya 60s hajawahi maliza juu ya Arsenal. Hivyo kwa zama hizi, hawezi chukua kikombe cha epl wakati Arsenal ipo, na wakiwa wa pili HAMNA JINSI, hata kama hatuko ktk form itabidi tuchukue tu ubingwa, Spurs xmas imeshaisha, sasa wanarudi wanakosyahili.........hawana muda hawa Spurs wataporomoka huko juu,....
Games zao zinazofuata ni pamoja na Versus Chelsea, Liverpool na Man United.
Leicester leo wakiteleza tu, waanze kuhesabu majipu!,.....tutawakuta tu.
COME ON ARSENAL!!!
Na katika mechi hizo za mwisho yaani mechi ya 38 kwa kila timu, mechi zitacheza muda mmoja hivyo kabla ya kipenga cha mwisho kuna uwezekano timu kama tatu au nne zikawa bingwa kwa nyakati tofauti kutokana na matokeo kabla ya bingwa rasmi kupata kupatikana.Hii ligi mwaka huu kuna hatari ngoma ikaenda hadi mwisho game ya mwisho
sina hakika sana kama Lester wanaweza kuhandle pressure hasa ambapo kila mtu anawaona ni Real tittle contenders
maana ana fixture nyepesi on PAPER lakini timu ndogo saivi zinawachukulia kama BIG GUNS wanaingia na set up ya kuwazuia wasifunge, point moja timu ndogo kuipata kwa lester ni MASSIVE kwa miez hii
Spurs nae baada ya leo wanayo kazi ngumu anacheza na Borrusia dortmund ndani ya wiki mbili, ana Manure,liverpool,stoke,chelsea na WBA
safari bado iko wazi lakini UKWELI NI KUWA UBINGWA NI WA LEICESTER KUUPOTEZA mwenyewe
No hujanielewaWe jamaa hii kauli imetoka kinywani mwako? Can't blive it, kwahyo nyie mmeshajitoa?
Natamani nizirudishe zile kauli zenu za nyuma, ila basi tyu.
Spurs toka miaka ya 60s hajawahi maliza juu ya Arsenal. Hivyo kwa zama hizi, hawezi chukua kikombe cha epl wakati Arsenal ipo, na wakiwa wa pili HAMNA JINSI, hata kama hatuko ktk form itabidi tuchukue tu ubingwa, Spurs xmas imeshaisha, sasa wanarudi wanakosyahili
Nasikia eti arsenal kubeba kombe la epl ni mpaka royal baby awe king
Ma malkia Elizabeth nae ni mtoto wa royal famili, alirithhishwa kama mtoto.royal baby yupi maana wote ni ma baby kwa mama zao CHARLES, WILLIAM au GEORGE
Ma malkia Elizabeth nae ni mtoto wa royal famili, alirithhishwa kama mtoto.