Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

sasa kocha unapewa hela ya kusajili huitumii, then unategemea nini

Labda Anaogopa ya kina Asharvin, maana ile hela nahis mpka leo ina muuma kwa kpnd kile ulikuwa usajil mkubwa kwake, akajua ata make profit, kumbe big BLUNDER
 
........kamanda upo? Bado mechi kadhaa bana, NEVER SAY NEVER japo mnh, kweli inauma na huyu mzee anatupa presha mwaka wa kumi sasa...

........6pts sio nyingi ki viiile, fumba na kufumbua Leicester 'bubble' ita burst, na hawa Spurs hawanaga jeuri ya kumaliza ligi above us!.....

We will win EPL in style,.....kina Nzi, Belo na wenzao si mnawajua? .....tukishinda kiulaini watasema ..."Oohh, mmewaonea kwakuwa Chelsea & Man City were Shit!".... Tutavyoshinda KWA KISHINDO pia hawatakosa la kukosoa...

[HASHTAG]#ComeOnYouGunners[/HASHTAG]!!!
YES,....[HASHTAG]#TogetherWeStand[/HASHTAG]!
vs spurs jmosi
vs hull city jnne
vs wes brom jmosi
vs barcelona jtano
vs everton jmosi

Peter Cech will be out for up to four weeks, he is one of your best players,arguably best GK in EPL......Ubingwa ushakuwa mgumu kaka
 
Sijui kesho tutafungwa ngapi? Nasubiri msimu ujao [HASHTAG]#ShutUpmburukenge[/HASHTAG] wote.
 
Huyu mtu anaitwa wenga ingebidi aondoke akafie mbele..hana kitu kipya na wala hatakaa abadilike..ni mtu stubborn sana mbishi..anaejifanya anajua kila kitu na kutotaka mabadiliko kabisa..ile timu haina kiungo mkabaji wa nguvu..haina kiungo mkali wa ushambuliaji..haina beki mmoja mkali na striker sio Girud ambae hawezi hata kusaidiaa timu..ndio mana kuna mambo mawili moja kupiga pressure kronke aondoke aje Ulisher alete mabadiliko au wenger afukuzwe hafai.mwaka huu atamaliza nafasi ya 5
 
Safari ya White Hart Lane kukutana na Arch-rival wetu Spurs ambao wako mbele kwa 3 pts hii game imekuja tukiwa na vidonda vya kuchapwa mechi 3 mfululizo mbili zikiwa za EPL.
Referee ni Michael Oliver na tuko nafasi ya 3 tunaenda tukiwa na majeruhi wapya watatu Ox Chambo,Cech na Koscienly hii inaamanisha backline ina ufa leo tunaamini Ospina atakua solid.
Mungu bariki timu yetu ya Arsenal.
For the brave nutin' is too difficult.
 
C'mooooon Wenger inakuaje Campbell na Nacho wanaanzia nje?hii rotation ya leo duh ngoja tuone mkubwa anajua zaidi.
 
1457180850752.jpg
 
Rayo Vallecano 1-5 Barcelona,mechi ya mwisho ya barcelona Lionel Messi alipiga hat trick......nawakumbushia tu wakuu
 
wakali wa kumbukumbu na rekodi mnakumbuka mara ya mwisho ni lini mlicheza na tottenham wakiwa wako juu yenu katika msimamo/league table???
 
Dakika ya 25 hawa Spurs wanafanya nizitafute pumzi zangu aseee,Ramsey plays like shit aagghrrr
 
Tupieni updates jamani!! Nani leo anafanya live coverage kwenye uzi wetu?
 
mpaka muda huu uwezekano wa arsenal kushinda ni mdogo,matokeo bora wanayoweza kupata hapa ni droo,bado ni bilabila
 
Back
Top Bottom