Teh teh teh teh hata mm nipo hapa.. Nisubiri mazishi hayo...saa za msiba zinakaribia....
ngoja Niweke kambi hapa hapa maana wenyewe wamesema wanaZIKA hapa hapa HAWASAFIRISHI hii maiti!!!
saa za msiba zinakaribia....
ngoja Niweke kambi hapa hapa maana wenyewe wamesema wanaZIKA hapa hapa HAWASAFIRISHI hii maiti!!!
Teh teh teh teh hata mm nipo hapa.. Nisubiri mazishi hayo...
Tuko pamoja mkuuAisee Mkuu mi ninamtazamo tofauti kabisa gunners hawezi kufa
Nitakuwa Na wadau wa BarcaKesho usiangalie hiyo peke yako.
Hahahaah wenyewe tupo.saa za msiba zinakaribia....
ngoja Niweke kambi hapa hapa maana wenyewe wamesema wanaZIKA hapa hapa HAWASAFIRISHI hii maiti!!!
Kama namuona vile Per Mertesucker anavyopambana na akina MSN...........hii game hatufungwi ...Haters Jiandaeni kulikabili hilo
Naona Mkuu una karama ya kubembekeza wafiwa, nashkuru wa kuja kubembeleza wafiwa!!!Aisee Mkuu mi ninamtazamo tofauti kabisa gunners hawezi kufa
khe khe khe khe khe khe khe watu mna maneno! kuna mwenzio eti anasema hawasafirishi msiba wanazika hapa hapa kwahio tupige kambi........Mkuu Ntuzu heshima kwako sana,
Hii game JIRANI anachinjwa bila ganzi na atapiga kelele sana believe me!
wakijitahidi sAANA watapigwa 3!
Hiii MSN wanapenda sana aisee!
Naona Mkuu una karama ya kubembekeza wafiwa, nashkuru wa kuja kubembeleza wafiwa!!!
Aminia MkuuTuko pamoja mkuu
Mkuu Ntuzu heshima kwako sana,
Hii game JIRANI anachinjwa bila ganzi na atapiga kelele sana believe me!
wakijitahidi sAANA watapigwa 3!
Hiii MSN wanapenda sana aisee!
Hii game hatufungwi....hii game tunacheza compact na kuvizia Counter attacks kama tulivyoipiga bayern 2-0 mismu huu huu UCLKama namuona vile Per Mertesucker anavyopambana na akina MSN...........
najua humu tutabaki anti-arsenal tuMtakimbia hapa kesho Wenger ni mtu mwingine kabisa.
Aminia Mkuu
Heshima kwako pia Mkuu.
Mkuu tuko hapa pamoja tusubiri tuone
Ashukuriwe mungu game inaanzia emirates, ingekuwa spain mngeondoka na 7. Harafu mkuu acha kuishi kwa historia, hapo hapo London Barca wanaweza wakawapiga hata 6. Achana na hii Barca.Hii game hatufungwi....hii game tunacheza compact na kuvizia Counter attacks kama tulivyoipiga bayern 2-0 mismu huu huu UCL
kuna tofauti ya Kuwafunga Barca na kuwatoa in two legs...hii game wako England ni ngumu kwao aidha sare au Kipigo
issue ni kumaliza second leg kule Camp nou ndo itakuwa hatari...
You silence suereza then you have chance of 51% of silencing Messi and Neymar