Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo ni FA matchday ikiwa ni fifth round mtanange unapigwa home(Emirates) ambapo the HOLDERS(Arsenal) wanawakaribisha Hull City kwa mara nyingine ikiwa ni mara ya 3 mfululizo toka FA final mwaka 2014 ambapo wanakutana,referee ni Michael Lislie'Mike' Dean naamini tunamjua kwa kumbukumbu ya game ya mwisho aliposimama katikati balaa alilolileta kwa hali ilivyo na presha kuna dalili Arsenal akashusha almost half of full squad kama kuatakua na mabadiliko ni machache.
Karibuni tuendelee kupeana updates,Mungu bariki timu yetu Arsenal tupate ushindi leo.
#COYG
 
Arsenal
ImageUploadedByJamiiForums1455970520.822621.jpg
 
So far Jakupovic kipa wa Hull City ni MOM ame save nyingi sana leo,ni dakika ya 67
 
Mmeshindwa kuwafunga hull city emirates,

Msijali mtaenda kumalizia hasira zenu kwa Barcelona.
 
Mmeshindwa kuwafunga hull city emirates,

Msijali mtaenda kumalizia hasira zenu kwa Barcelona.
Mkuu hatukutaka kutumia nguvu nyiingi ndo mana tumewaweka kiporo ngoja tumalzane na barca kwanza
 
Back
Top Bottom