Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

everlenk ule msiba umeenda wapi mbona huku London hauko???! Khe khe....

Mi nafurahi wifi yako kafurahi...wikiendi itaisha vyema maana ile penati mpaka nkashindwa kushangilia.
Duh mpwa uyu Everlenk jana kasogeza mbele mazishi yao kusubiri tuzike wote sijui kapotelea wapi yule binti ngoja nimsake.
 
Behind the scene
ImageUploadedByJamiiForums1455468560.624329.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1455468618.830665.jpg

Match-winner akiwa anaingia
ImageUploadedByJamiiForums1455468667.959476.jpg

Job done asante Danny Boi
ImageUploadedByJamiiForums1455468777.237365.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1455468817.136510.jpg

Singeri ndani ya UK
ImageUploadedByJamiiForums1455468895.301778.jpg

Love & passion from legend
ImageUploadedByJamiiForums1455468954.142663.jpg

Thanks lads yametimia
ImageUploadedByJamiiForums1455469038.760830.jpg

Ya gunners
 
Mathematically hii ni mechi ya point sita hutaki unaacha

ushindi mzuri
tumezifunga leicester man u chelsea na liverpool
 
Mpwa ivi wale watabiri mbona hawaji uku kwetu maana walihesabu sana siku kua tunakufa leo naomba waalikwe kwenye harusi hii waambiwe tumeshamuoa shoga yao waje wacheze singeri hapa kibaraza cha Emirates

Kabisa kabisa sisi ndio wapenzi wa mpira mkuu kwa kweli ushindi wa leo unatoa fursa nzuri sana ya Arsenal kutwaa kombe.

Lakini tunayategemea sana matokeo ya Man City na Tottenham nataka watoe sare.
 
Kabisa kabisa sisi ndio wapenzi wa mpira mkuu kwa kweli ushindi wa leo unatoa fursa nzuri sana ya Arsenal kutwaa kombe.

Lakini tunayategemea sana matokeo ya Man City na Tottenham nataka watoe sare.
Man city is falling apart
 
chelsea wacha wafungwe tu. nliipenda sana chelsea but kwa wachezaji hujuma walizomfanyia Jose M. nimetokea kuichukia hii team. labda mpaka wachezaji husika waondolewe. walimfanyia hujuma na fitina aondolewe kwa visasi n.k naombea wapoteze. walifanya vitendo ambavyo havikuwa vya kiuungwana. mpaka kumfanya kocha wa watu alie kwa uchungu wa kusalitiwa.
 
Kabisa kabisa sisi ndio wapenzi wa mpira mkuu kwa kweli ushindi wa leo unatoa fursa nzuri sana ya Arsenal kutwaa kombe.

Lakini tunayategemea sana matokeo ya Man City na Tottenham nataka watoe sare.
City kapoteza kwangu mimi ni faraja sana kati ya timu ambazo sipendi kufuatana nazo ni City the moment wanakaribia finishing line ndivyo speed inavyozidi acha tutengeneze ka-gap nao uyu Tottenham tutamalizana wenyewe kama Leicester tu.
 
City kapoteza kwangu mimi ni faraja sana kati ya timu ambazo sipendi kufuatana nazo ni City the moment wanakaribia finishing line ndivyo speed inavyozidi acha tutengeneze ka-gap nao uyu Tottenham tutamalizana wenyewe kama Leicester tu.
Pale White Hart Lane tumeshawahi chukulia ubingwa si kitambo sana, tutaenda malizana nao hapo hapo kwao maana ni mwendo wa kutembea kwa mguu tu toka emirates. Wana poont zetu tatu!
 
Kama mpenzi wa Chelsea nimekasirika kinomaaaaaaa...

Kama mpenzi wa football am neutral...they both deserved the results they got.

Kama family man nimefurahi maana mabusu na makumbatio yamekuwa mengiii...tunaelekea nyumbani sasa. ;-)

Aisee Mentor umenifurahisha sana hapa.
 
Mike Dean has been confirmed as the referee for Arsenal's FA cup match against Hull on saturday.

Kwahyo zile kelele za kusema mike dean kafungiwa kuchezesha mechi za assnail ilikua ni kuruka ruka kwa maharage jikoni?
 
Back
Top Bottom