Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukweli ni kwamba leo ilitakiwa tushinde mabao zaidi ya saba(07),Bendtner kafanya ujinga sana leo...Hata hivyo hongereni sana Arsenal fans...Tuombe Mungu tuendelee na ushindi kwa kila mechi iliyobakia......YES WE CAN............
 
Walcott kacheza vizuri sana leo,naona kwenda WC kutamfanya awe na morali ya kucheza vizuri zaidi,pia Nasri
 
Ukweli ni kwamba leo ilitakiwa tushinde mabao zaidi ya saba(07),Bendtner kafanya ujinga sana leo...Hata hivyo hongereni sana Arsenal fans...Tuombe Mungu tuendelee na ushindi kwa kila mechi iliyobakia......YES WE CAN............

Vipi wewe sio Arsenal? teh teh .....

Bendtner kakosa magoli leo kwa sababu ya pressure, unafahamu hawa bado vijana wadogo sana the day and occassion took him over hii ni dalili nzuri kwa siku ya Jumanne wawe focus to the occassion.

And BTW ni vizuri tuwe chini kidogo kwa sasa kwa magoli ile pressure ipande zaidi kwa wapinzani wetu.
 
_47425762_arshavin766ap.jpg



Substitute Andrey Arshavin makes it 3-1 to the home side in injury time. The win puts Arsene Wenger's side level on points with Premier League leaders Chelsea
 
Naona wapinzani wetu Porto wanacheza na timu ya karibu na mkiani mwa msimamo wa ligi ya Portugal mpaka sasa wameshalizwa mbili.Yes j'nne tutawafunga pia
 
Kaka peke yako ki vipi tupo wengi washika bunduki wewe lete ishu tuuuuu!!
 
wachezaji wetu wanatakiwa wawe more committed kama wanataka kuchukua kombe mwaka huu.chances nyingi sana tunazipoteza ambazo zinaweza kutu-cost mbeleni.
 
alaaa 😀 mambo yenda yakijiongeza eeh? game ya leo ilinipita pembeni, nimekimbilia kucheki updates hapa naona Wacha ushafanya vitu vyako, saaaaaaafi sana...
enzi zile tulikuwa tunasema 'warie tuuuu!!!!'...pointi sawa na Chelski sasa, ni kicheko tu 'hamadi kibindoni!'
 
alaaa 😀 mambo yenda yakijiongeza eeh? game ya leo ilinipita pembeni, nimekimbilia kucheki updates hapa naona Wacha ushafanya vitu vyako, saaaaaaafi sana...


enzi zile tulikuwa tunasema 'warie tuuuu!!!!'...pointi sawa na Chelski sasa, ni kicheko tu 'hamadi kibindoni!'
mnong'ono manake sitaki wanisikie wenyewe," huko nyumba pili wanapelekeshwa nako sema ndio hivyo ng'ombe wa maskini hazai lol.sema watoto(wolves) wakikaza wanaweza kupata chochote."
 
wachezaji wetu wanatakiwa wawe more committed kama wanataka kuchukua kombe mwaka huu.chances nyingi sana tunazipoteza ambazo zinaweza kutu-cost mbeleni.

Possession
Arsenal 64% Burnley 36%

Attempts on target
Arsenal 11 Burnley 5

Attempts off target
Arsenal 9 Burnley 3

Corners
Arsenal 8 Burnley 2

Huwa najiuliza kwa nini Arsenal wasiajiri veterani kama Bergkamp aje kutusaidia kuinoa hii safu ya ushambuliaji, Wenger anahitaji msaada wa mtu kama Bergkamp ambaye alikuwa prolific striker ili awafundishe hawa vijana finishing touches, haiwezekani timu inapata nafasi 20 ikiwa 11 on target lakini kaushindi kanapatikana kwa taabu, vijana maaumuzi yao katika eneo la boksi sio mazuri, hakuna anayejiamini kupiga mashuti, wote wanategemea kufunga magoli ya "tap-in" na imeshakuwa mazoea sasa timu nyingi zinapokuja Emirati wanaweka wachezaji 10 nyuma ya mpira na kutegemea counter attack kutushambulia. Nahisi hata hawa Porto watakuja na formesheni hii hii kwa sababu wameshajua kwamba staili hii inatusumbua. Arshavin alikuwa na confidence ya kujaribu kufunga nje ya box lakini naona nae amesharithi haka kaugonjwa.
 
Cesc-Fabregas-Arsenal-Premier-League_2427762.jpg

The Spaniard latches onto a superb pass
from Nasri before finding the net
with just one touch.


Cesc-Fabregas-Nasri-Arsenal-Premier-League-PA_2427714.jpg

Fabregas thanks Nasri who supplied a perfectly looped ball to assist the goalscorer.


Theo-Walcott-Arsenal-Premier-League-PA2_2427713.jpg

Walcott celebrates scoring the second and his second
of the season.



Andrey-Arshavin-Arsenal-Premier-League-PA_2427739.jpg


Arsenal round off their victory over Burnley with a third three minutes into injury time, Andrey Arshavin beats Jensen at his near post.
 
Andrey-Arshavin-Theo-Walcott-Arsenal-Premier-_2427742.jpg


The Russian celebrates scoring his eighth Premier League goal of the season.

_47425706_walcott466ap.jpg


3 points in the house


_47425505_ramsey466pa.jpg
 
Duh yaonekana tutamkosa Fabregas j'nne

Wenger - Fabregas has a hamstring problem


On Cesc Fabregas' injury...
"He has a hamstring problem and we don't know how big the damage is yet because it is too early. We'll see tomorrow or Monday. We have to make a late decision over whether he plays on Tuesday, certainly. It is the same hamstring [he hurt against Aston Villa earlier in the season]."
 
Duh yaonekana tutamkosa Fabregas j'nne

Wenger - Fabregas has a hamstring problem


On Cesc Fabregas' injury...
"He has a hamstring problem and we don't know how big the damage is yet because it is too early. We'll see tomorrow or Monday. We have to make a late decision over whether he plays on Tuesday, certainly. It is the same hamstring [he hurt against Aston Villa earlier in the season]."
pigo kubwa sana hili mkuu.saa nyingine najiuliza kwanini inatokea kwetu sisi kila saa? game tisa zimebaki pl majeruhi saa hizi noma.
 
mnong'ono manake sitaki wanisikie wenyewe," huko nyumba pili wanapelekeshwa nako sema ndio hivyo ng'ombe wa maskini hazai lol.sema watoto(wolves) wakikaza wanaweza kupata chochote."
Dua ya kuku haimpati mwewe
Wolves 0 Man U 1
Tunaongoza ligi
 
Mtamkosa Fabregas, lakini si mnaye Bendtner..lolz

Ooo Yeah .. .... si uliona hata alipotoka kijana mdogo bado alikuwa ana-enjoy .... ..... .... ametoka kwenye majeruhi kwa hiyo bado hajawa sharp ni sawa na wachezaji wengine si uliona vitu vya Theo ... ... ....Usisahau hata Eduardo bado hajarudisha sharpness yake yaani mwaka huu tungekuwa tumeshawatimulia vumbi long time.

Theo_Walcott_280x39_999966a.jpg


Theo ... ... answer
 
Hi fellow Gunners supporters! Goodluck to all of us in tomorrow's game. May all enemies fall ang get burried in the dirt.
 
Back
Top Bottom