Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Ukweli ni kwamba leo ilitakiwa tushinde mabao zaidi ya saba(07),Bendtner kafanya ujinga sana leo...Hata hivyo hongereni sana Arsenal fans...Tuombe Mungu tuendelee na ushindi kwa kila mechi iliyobakia......YES WE CAN............