Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

_47425303_fabregas766pa.jpg



Samir Nasri finds Cesc Fabregas with a lifted pass into the box and the Arsenal captain beats Brian Jensen from six yards. With an apparent tweak in the hamstring, the goalscorer is replaced by Abou Diaby towards the end of the first half.
 
_47425063_arsenalprematch766pa.jpg


Arsenal v Burnley: The Arsenal team wear 'Get Well Soon Aaron' t-shirts for team-mate Aaron Ramsey before their Premier League match against Burnley at the Emirates
hivi eduardo nae alifanyiwa hivi manake sikumbuki kama alifanyiwa hivi au kipindi kile kulikuwa na mpasuko ulioletwa na gallas na sasa ni umoja unaoneshwa?
 
hivi eduardo nae alifanyiwa hivi manake sikumbuki kama alifanyiwa hivi au kipindi kile kulikuwa na mpasuko ulioletwa na gallas na sasa ni umoja unaoneshwa?

Well may be true, lakini hii nimeipenda sana hii, uliona na kule kwa mashabiki?
 
Bendtner vipi leo anakosa mara mbili sasa from 6 metres ... ...
 
Huy Bendtner auzwe tu sasa,magoli gani hayo anakosa....aaaaaaaaaaaaaaaargh
 
Burnley goal ... ... magoli waliyochezea mawili ya Bendtner na moja la Walcott ...
 
hayo ndio matokeo ya kupoteza chance za wazi kijinga jinga.arsenal players will never be serious.
 
Walcott chuma 2 - 1 lazima wawachape zaidi hapa ndio kwa kuvuna magoli. Lakini Bendtner leo sijui vipi nafasi karibu 4 sasa Wow!
 
Hawa Arsenal siku ya kuwategemea washinde magoli zaidi ya 4 ndiopo hutoka droo
 
Haya ndo mambo sasa waweke lingine kuwa na uhakika kabisa
 
Huyu Bend sasa tutamchoka sasa mambo gani haya?
 
Back
Top Bottom