Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mmbebabox

Mkuu jana hawakuweka kabisa picha za michezo kadiri jinsi ambavyo huwa wanaweka. Picha hizo wameweka leo i.e. masaa 18 baada ya mechi ya mwisho ya Arsenal hiyo ndio ilikuwa point yangu. Ukiangalia leo picha ziliwekwa baada ya mechi na hata week za nyuma huwa ni hivyo.

WACHA1 please fafanua hio red,maanake napenda man utd lakini naangalia almost mechi zote za arsenal kwenye tv zikionyeshwa,una uhakika mwaka jana match of the day hawakuonyesha mechi ya arsenal??au nimekuelewa vibaya?

Match of the day huwa ni Jumamosi na kama hukuiona unaweza kuangalia J2 asubuhi ni marudio. Mwaka jana walishibdwa kuonyesha mechi ya Arsenal sikumbuki walicheza na timu gani lakini Arsenal walishinda, kwa sababu sikuiona nilijiwahi J2 ili niione maana nilifikiri labda ni makosa yangu lakini hata hiyo J2 haikuwepo, kwa hiyo nilichofanya ni kufuatilia muenendo wa haya mambo na niligundua kwamba waliiacha kwa sababu ya unazi. Siku hizi huwa naangalia mechi kwenye sky sports tu na sihangaiki na BBC tena kutokana na hiyo tabia.
 
mmbebabox
Match of the day huwa ni Jumamosi na kama hukuiona unaweza kuangalia J2 asubuhi ni marudio. Mwaka jana walishibdwa kuonyesha mechi ya Arsenal sikumbuki walicheza na timu gani lakini Arsenal walishinda, kwa sababu sikuiona nilijiwahi J2 ili niione maana nilifikiri labda ni makosa yangu lakini hata hiyo J2 haikuwepo, kwa hiyo nilichofanya ni kufuatilia muenendo wa haya mambo na niligundua kwamba waliiacha kwa sababu ya unazi. Siku hizi huwa naangalia mechi kwenye sky sports tu na sihangaiki na BBC tena kutokana na hiyo tabia.
Na jumapili pia huwa kuna Match of the day two,naona siku hizi BBC wamebadilika na wamewaajili kina Martin Keown Ex-Arsenal na Dixon pia alikuwa mchezaji wa Arsenal kwa hiyo mambo yamebadilika si kama zamani.
 
shawAP_1146789l.jpg


Hijacking of Ramsey not Shawcross first



Have seriously damaged the opponent before

Ryan Shawcross broke Aaron Ramsey leg on Saturday.
But it was not the first time he broke an opponent's legs.

In 2007 he broke the ankle on Francis Jeffers.
And while Emmanuel Adebayor has been damaged by him.


Ryan Shawcross has fallen sharply under fire after his tackle on Aaron Ramsey, who was fractures of the tibia and fibula together in Ramsey right leg.

But the fact is that it is not the first time Shawcross has injured players seriously.
Already in October 2007 because he put Sheffield Wednesday Francis Jeffers so badly that he broke his ankle and was gone in three months.

Wenger was furious
During last season he ended up back under fire when he tackled Arsenal star Emmanuel Adebayor. Adebayor injured ankle and was gone in three weeks.
After rigging the raging Adebayor Arsenal manager Arsene Wenger.

- Do you think that Shawcross tried to play on the ball when he tackled Adebayor off the pitch? He injured him deliberately, "said Wenger.

Daniel Count
 
Give me the break you As**holes fans!
Naona mmepata pa kusemea na incidence ya Ramsey ikawa excuse frm each and everythng!
Stop yelling like kids!
What Showcross did was purely regretable na ktk hali ya kawaida uwe Man Utd au Man City hutapenda kile kitu kitokee kwa mchezaji wa timu yako au hata timu pinzani. Siku zote nimekuwa against wale wote wanaoshadadadia injury za wachezaji wa timu pinzani coz at the end of the day wale pia ni binadam kama ww na mm.
Nature ya mpira wa Uingereza ni tofauti na mpira wa Arsenal (wanacheza mpira wa Kihispania zaidi), hence faulo against Arsenal team is less or more obvious. Asa feelings ka mwawindwa au lah that cant work apa, kipindi mnaenda unbeaten hadi ligi inaisha sijui (of coz JF haikuwepo) mlikuwa mnasema nini!
Au mnadhani tumesahau umafia wa kina Ray Parlour, Viera et al?
Zile ngumi mlizomchapa siku ile first eleven yenu Ruud Van was it cons.?
CEO wenu mstaafu (jina limenitoka), alikuwa na nafasi ya juu sana ktk FA, kipindi SAF na badae Mourhno wanalalamika juu ya nafasi yake ktk two conflicting parts, what was ur take?
Tukiwa sote tumeshikana mikono kumwombea Ramsey apone haraka.....let u guys stop yelling like kids na kucheza mpira.. Still you are in a title race!
Fat As**holes ni wazee wa kulialia wala usipoteze muda wako kuwafikiria! Watakwambia kila mtu ANAWAONEA, kuanzia marefa, FA, PL, Media, Timu pinzani, mashabiki wa timu pinzani, makocha wa timu za taifa, the list goes on! Huyo unayemsema ni David Dein, alikuwa Vice-chairman wa FA wakati huo pia akiwa boss wa Fat Arse. Alikuwa anawabeba sana Fat Arse especially kwenye upangaji wa ratiba. Sasa tangu jamaa aondoke huko FA zile favour hawapati tena ndio maana unaona hivi vilio vinazidi kuwa vingi kila siku, na bado watalia sana ,
 
Fat As**holes ni wazee wa kulialia wala usipoteze muda wako kuwafikiria! Watakwambia kila mtu ANAWAONEA, kuanzia marefa, FA, PL, Media, Timu pinzani, mashabiki wa timu pinzani, makocha wa timu za taifa, the list goes on! Huyo unayemsema ni David Dein, alikuwa Vice-chairman wa FA wakati huo pia akiwa boss wa Fat Arse. Alikuwa anawabeba sana Fat Arse especially kwenye upangaji wa ratiba. Sasa tangu jamaa aondoke huko FA zile favour hawapati tena ndio maana unaona hivi vilio vinazidi kuwa vingi kila siku, na bado watalia sana ,

Umefufuka Ban imekwisha?
 
Fat As**holes ni wazee wa kulialia wala usipoteze muda wako kuwafikiria! Watakwambia kila mtu ANAWAONEA, kuanzia marefa, FA, PL, Media, Timu pinzani, mashabiki wa timu pinzani, makocha wa timu za taifa, the list goes on! Huyo unayemsema ni David Dein, alikuwa Vice-chairman wa FA wakati huo pia akiwa boss wa Fat Arse. Alikuwa anawabeba sana Fat Arse especially kwenye upangaji wa ratiba. Sasa tangu jamaa aondoke huko FA zile favour hawapati tena ndio maana unaona hivi vilio vinazidi kuwa vingi kila siku, na bado watalia sana ,

Tuangalie facts usilete ushabiki, angalia data (OPTA statistics) ni timu gani inayoongoza kwa kucheza Fairplay katika PL for the past 5 years na timu gani inaongoza kwa kuchezewa rafu kwa miaka 5 ilyopita. Ukweli upo wazi, unaweza ukaangalia pia ni timu gani imepata ushindi mara nyingi kwa maamuzi ya utatanishi ya refa na ni timu gani maamuzi ya utatanishi ya refa yamewagharimu mara nyingi. Kabla ya scandal ya serie A kubumbuluka kila mtu alikuwa anajua Juventus ndio timu bora Italy kumbe kulikuwa na kitu nyuma ya pazia!!!!
 
Arsenal's Arsène Wenger looks to Felipe Melo after Aaron Ramsey injury

• Manager is planning for Welshman's long-term absence
• Tried to buy Brazilian in summer but was priced out of market

Eyong-Enoh-Felipe-Melo-001.jpg
Arsenal's manager, Arsène Wenger, is still interested in the the Juventus midfieder Felipe Melo. Photograph: Alberto Ramella/AP


Arsène Wenger has revealed that he retains an interest in Felipe Melo, the Brazil and Juventus defensive midfielder, as he plans for the longer term without the stricken Aaron Ramsey.

The Arsenal manager tried to sign Melo from Fiorentina last summer only to be priced out of the market by Juventus but, with the 26-year-old having struggled this season, there has been the suggestion that he is unsettled.

Wenger will again have money to spend in the summer transfer window and he already knows that he will enter next season with his midfield resources depleted. Ramsey is expected to be out for eight months after the double fracture of his right leg that he suffered at Stoke City on Saturday.

"We were interested in Melo during the summer," said Wenger. "We watched him in Brazil's international at the Emirates, against Italy [in February 2009], when he had an outstanding game. Then he went to Juventus and that team has struggled and certainly he has not had the season that everyone predicted he would. We still think he is a very talented player and with Gilberto Silva, Brazil have a very useful pair in midfield. We are still looking at Melo."

Wenger, who will also be without Alex Song in midfield for the next two matches because of suspension, has been boosted by the return to full training of Abou Diaby. The France midfielder, who has had a calf problem, hopes to feature in the Premier League fixture at home to Burnley on Saturday
 


He once said it was a 2 horses race between ManU na The Bluz and now........

Fergie: Arsenal have it easy



Published: Today








ALEX FERGUSON admits Arsenal have roared back into the title race - and have the easiest run-in.

But the Old Trafford boss has warned Manchester United's rivals that the champions will NEVER lose out if the battle comes down to bottle.
Ferguson said: "Arsenal are bang in the frame now.
"They have the easiest programme on paper and it will be an interesting run-in."
He added: "We have shown time and time again that this football club has determination.
"We don't give in and that is a good quality.
"You will see that in the remainder of the season. We won't give in."
Ferguson confessed that the three-team tussle is now so close it could be decided by who makes the fewest errors.
He said: "You have to focus at the turn of the year and make sure you don't make mistakes.
"We lost to Everton and we were a bit tired. But we recovered."


Read more: http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/2878171/Alex-Ferguson-Arsenal-have-it-easy.html#ixzz0hDSzOoIs
 
Ivan Gazidis re-affirmed the board's desire to retain the services of Arsene when his current contract ends, leaving an open interpretation as to whether or not negotiations have taken place:
It's very low key and it will get done at the right time.
Lest anyone doubt why the board are keen to keep the manager,
I think it is very difficult to encapsulate in any succinct way what Arsène Wenger has done for this club," says Gazidis.
His discipline and his vision are why we are in a new stadium and why we are redefining the way the game can be played. He has created a young squad that has a tremendous future without having the resources that some other teams have.
Those achievements are down to Arsène's sense of responsibility not to himself but to the club. When he interviewed for the job, Danny Fiszman asked him what are your ambitions for the club? Arsène said: ‘That when I leave, it will be in a better state than when I arrived.'
I think Arsène has accomplished that but I also think his legacy is not written yet. There's no diminishment in his passion, competitive edge or ambition. Arsène's work is not finished.
Based on some commentary when results were not going the right way, you could be forgiven for believing that this is not the case. Following the home and way defeats to Chelsea, petulance was the order of the day, outright castigation of the manager without looking at the longer-term view, one that should have shown that it was possible for Arsenal to be top this weekend.
It mirrored the absurd observations which followed the release of the club's financial results for the first six months of their current financial year. Those who crave success on the pitch portray themselves as being at odds with the board, quickly forgetting that this aspiration is the same as those they crassly castigate:
The ultimate aspiration is not to produce a wonderful business model, the reason we adhere to those principles is so that we can preserve the values of the club and create the foundation on which we can deliver success on the pitch.
The difference between the viewpoints is that one is sustainable, the other pathetic ramblings, building a house of cards which would collapse in the slightest of chill winds. Half a century ago, Arsenal emerged from World War II, stumbling into a new era with a crumbling stadium and essentially bankrupt. Those who decry the board should remember that some have ties with the club which means they do not forget the problems this caused, underlining why in this age they are determined not to allow it to recur.
Elsewhere, Gazidis said,
The fundamental issue that we all face is how do we have the courage and the fortitude to control our spending in a fairly irrational environment. If you can manage that there's no reason why anybody in the end can't have a long term stable business in the end.
This ties in with the current moves within the world game to stabilise clubs financial standings, driven by Uefa's contempt for the power wielded by the major European outfits. The big spending craved is not going to happen. Arsenal's board believes it has two duties: ensuring that the club is fit to survive off the pitch and giving the manager the ‘tools' to build squads who can deliver silverware,
After the days of the money culture, I think people are looking for something more meaningful in their lives.
I think a football club is a community of shared values. Our ultimate objective has to be to win trophies – it's critical – but equally critical to us is to do it in a way that will make our fans and community proud.
 
He once said it was a 2 horses race between ManU na The Bluz and now........

Fergie:
"Football is not as predictable or scientific as some people think and sometimes people are wrong on what they say".Arsene Wenger a.k.a "The proffesor"
 
dua niliokuwa nazungumzia za mechi za kirafiki jana kwamba wachezaji wetu wasiumie kama ilivyotokea kwa van persie lol.

...mmnnnh,

Gallas bado majeruhi, Campbell naye groin inasumbua. Song anatumikia two match ban, itabidi gaffer alete vijana toka reserves nini sasa? Eastmond ana fit DM, Centre half je?

Jumamosi 'tunakiputa' na Burnley,...
 
...mmnnnh,

Gallas bado majeruhi, Campbell naye groin inasumbua. Song anatumikia two match ban, itabidi gaffer alete vijana toka reserves nini sasa? Eastmond ana fit DM, Centre half je?

Jumamosi 'tunakiputa' na Burnley,...
denilson yuko available mkuu usiwe na wasi wasi kwe DM na diaby 50-50 nadhani atacheza.Arshavin nae yuko available.kwenye centre half hapo ndio itabidi uongezee na dua hili tufanikiwa kwani Silvestre ndio atakuwepo.
 
Nilisikia Chamakah aliyekuwa Bourdiex amesajiliwa na Arsenal. Ni kweli? Kama ndiyo mbona simuoni akicheza?

Mimi ni mshabiki wa Arsenal sana tu ila sipati sana habari zake

Je wewe unayechangia kwa jina la Arsene Wenger ndie Wenger wa ukweli au ni jina tu maana naona unatumia jina na picha yake
 
by the way nimesikitishwa sana na kitendo cha Aaron Ramsey kuvunjwa mguu wakati wa mechi na Stoke City. Ila nina imani atapona mapema kama wanavyosema madaktari wa timu yake
 
Nilisikia Chamakah aliyekuwa Bourdiex amesajiliwa na Arsenal. Ni kweli? Kama ndiyo mbona simuoni akicheza?

Mimi ni mshabiki wa Arsenal sana tu ila sipati sana habari zake

Je wewe unayechangia kwa jina la Arsene Wenger ndie Wenger wa ukweli au ni jina tu maana naona unatumia jina na picha yake

by the way nimesikitishwa sana na kitendo cha Aaron Ramsey kuvunjwa mguu wakati wa mechi na Stoke City. Ila nina imani atapona mapema kama wanavyosema madaktari wa timu yake
LOL Pazia una miaka mingapi?
Jibu namba moja : Charmak atajiunga msimu unaofuata kwa vile dirisha la usajili limeshafungwa.
Jibu namba mbili: Sidhani kama Arsene Wenger anaongea kiswahili ama ni mwanachama wa hapa JF ila AW wetu wa humu ndani ameamua tu kuchagua kutumia hilo jina kama wewe vile umechagua jina la Pazia.
 
Back
Top Bottom