Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilisikia Chamakah aliyekuwa Bourdiex amesajiliwa na Arsenal. Ni kweli? Kama ndiyo mbona simuoni akicheza?

Mimi ni mshabiki wa Arsenal sana tu ila sipati sana habari zake

Je wewe unayechangia kwa jina la Arsene Wenger ndie Wenger wa ukweli au ni jina tu maana naona unatumia jina na picha yake

by the way nimesikitishwa sana na kitendo cha Aaron Ramsey kuvunjwa mguu wakati wa mechi na Stoke City. Ila nina imani atapona mapema kama wanavyosema madaktari wa timu yake

Plastic!!
 
Duh hawa waandishi wanauliza maswali kama vile mahakamani? angekuwa mzee Ferguson asingewajibu na wasimfanye lolote wanamnyanyasa Wenger kwa sababu ni kocha wakigeni na akikataa kuwajibu basi inakuwa issue.
Waandishi "wanamwonea" Wenger.
 
Mi naona maisha mabaya na mazuri ya hili chama yapo mikononi mwa Wenger!!!
 
Duh hawa waandishi wanauliza maswali kama vile mahakamani? angekuwa mzee Ferguson asingewajibu na wasimfanye lolote wanamnyanyasa Wenger kwa sababu ni kocha wakigeni na akikataa kuwajibu basi inakuwa issue.

kwani wenger asipowajibu hao waandishi watamfanya nini??mbona washawahi kumuuliza ujinga kuhusu walcott akawajibu hadi matus na hawakumfanya chochote
sio lazima kujibu kila swali,unaweza kusema...hilo swali la kipuuzi siwezi kujibu...kama fergie anavyowajibu,waandishi wasumbufu sana hawa lazima uwe strong.
 
Mi naona maisha mabaya na mazuri ya hili chama yapo mikononi mwa Wenger!!!

ni ngumu sana kupata coach kama wenger,sijui katka soka duniani sasa hivi arsenal watapata wapi mtaalam kama wenger.
 
starting line up
almunia,eboue,varmelen,silvestre,clichy,denilson,nasri,fabregas,rosicky,walcott,ben.

kila la kheri wakuu.
 
Fabregas what a goal ... .... Arsenal 1 - 0 Burnley
 
Wow...Safi sana Nasri,pande tamu sana hili...What a goal by Fabregas...Go Arsenal go.............
 
Fabregas is off ... ... ... Diaby is brought in .. ...
 
Doh,noma kweli,naona Fabregas kaumia mapemaaaaaaaa....Diaby anambadili
 
Fabregas naona ni kama precaution kwa sababu hakukabana na mchezaji yoyote kabla ya kutoka, pengine ni hamstring inamsumbua ... .... tusubiri tutajua ... Half time.
 
Am back nilikuwa nafatilia ligi ya nyumbani kidogo, not bad move mpaka sasa kwa vijana hawa
 
Kwa hii mechi sidhani kuna tatizo, wanatakiwa waweke goli la pili ili wacheze na cushion.
mkuu kuna tatizo sana kwani tutakuwa tunapoteza mpira kila rahisi na kurushusu watoto watushambulie.wana pace sana si unawakumbuka walivyotusumbua kwaho.chris eagles atataka sifa sasa hivi.
 
_47425063_arsenalprematch766pa.jpg


Arsenal v Burnley: The Arsenal team wear 'Get Well Soon Aaron' t-shirts for team-mate Aaron Ramsey before their Premier League match against Burnley at the Emirates
 
AW

Nasri na Diaby itabidi waifanye hiyo kazi pale katikati.
 
Back
Top Bottom