Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 338
Duh hawa waandishi wanauliza maswali kama vile mahakamani? angekuwa mzee Ferguson asingewajibu na wasimfanye lolote wanamnyanyasa Wenger kwa sababu ni kocha wakigeni na akikataa kuwajibu basi inakuwa issue.