Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakati mwingine ni vema kutoa hoja bila ushabiki wowote ule. Hii inapendeza sn! Lkn km MTU anaamua kutoa tu maoni kiushabiki na kwa mapenzi Yake haipendezi!

Ntajibu hoja yako kwa kukutolea mfano wa Ryan Bertrand.

Huyu Bertrand alichukuliwa na Chelsea mwaka 2005 akiwa na umri wa miaka 16 umri tosha kabisa kuanza kuendelezwa kimpira. Hio ni sawa na Arsenal walipomchukua Cesc Fabregas kutoka Barcelona akiwa na umri huohuo wa miaka 16.

Kati ya mwaka 2005 na 2010 Chelsea walimtoa Bertrand na kumpeleka kwenye timu mbalimbali eti kuendeleza mpira wake wakati ilitakiwa aendelee kumsoma (understudy) Ashley Cole ambae Chelsea ndio waliuwa wametoka kumnunua kutoka Arsenal wakti huo ili Ashley kama hayupo basi Bertrand anakuwa anaingia kucheza.

Lakni hata kwenye Carling Cup Bertrand hakuweza kuchezea Chelsea hadi mwaka 2011 (baada ya miaka 6), sasa Fabregas yupo timu kubwa ya Chelsea na anachezea timu ya nchi yake ya Spain na Bertrand bado yupo katika timu ya Southampton na hapati namba kwenye timu ya England.

Unapomtoa mchezaj kwenda timu ingine kwa mkopo ili apate uzoefu inatakiwa iszidi miaka miwili na nadio maana Jack Wilshere alikwenda Bolton kwa msimu mmoja na wengine wengi tu walipelekwa kwenye timu zingine lakin hawajazidisha miaka miwili.

Wale wachezaji ambao wanakuwa walionyesha vipaji hasa kama Fabregas ambae alizna kucheza mechi kubwa baada ya Vieira, Edu na Gilberto Silva kuumia mwaka 2004.

Huu si ushabiki mkuu ni facts tu, halafu mimi sio shabiki tu ni mtaalam khasa wa haya masuala ya uchambuzi hasa mpira.
 
Ebu tema mate chini arifu....Goons ndiyo timu pekee wapi? London ama?

Ha ha ha ha ha Nzi katika ubora wake


Manure, Arsenal na Spurs wana Stock ya kutosha ya Homegrown Players

kimbembe City na Chelsea

Liver wamelazimika kununua Akina Ings, Gomez na Milner kujaza Deficit ya Gap lao na bado wanakomaa na Raheem hasiondoke

Kiukweli City na Chelsea wanajazia tu hawana nia ya dhati ya kumchezesha mtu kama Song watampoteze muda wake tu
 
Last edited by a moderator:
Ntajibu hoja yako kwa kukutolea mfano wa Ryan Bertrand.

Huyu Bertrand alichukuliwa na Chelsea mwaka 2005 akiwa na umri wa miaka 16 umri tosha kabisa kuanza kuendelezwa kimpira. Hio ni sawa na Arsenal walipomchukua Cesc Fabregas kutoka Barcelona akiwa na umri huohuo wa miaka 16.

Kati ya mwaka 2005 na 2010 Chelsea walimtoa Bertrand na kumpeleka kwenye timu mbalimbali eti kuendeleza mpira wake wakati ilitakiwa aendelee kumsoma (understudy) Ashley Cole ambae Chelsea ndio waliuwa wametoka kumnunua kutoka Arsenal wakti huo ili Ashley kama hayupo basi Bertrand anakuwa anaingia kucheza.

Lakni hata kwenye Carling Cup Bertrand hakuweza kuchezea Chelsea hadi mwaka 2011 (baada ya miaka 6), sasa Fabregas yupo timu kubwa ya Chelsea na anachezea timu ya nchi yake ya Spain na Bertrand bado yupo katika timu ya Southampton na hapati namba kwenye timu ya England.

Unapomtoa mchezaj kwenda timu ingine kwa mkopo ili apate uzoefu inatakiwa iszidi miaka miwili na nadio maana Jack Wilshere alikwenda Bolton kwa msimu mmoja na wengine wengi tu walipelekwa kwenye timu zingine lakin hawajazidisha miaka miwili.

Wale wachezaji ambao wanakuwa walionyesha vipaji hasa kama Fabregas ambae alizna kucheza mechi kubwa baada ya Vieira, Edu na Gilberto Silva kuumia mwaka 2004.

Huu si ushabiki mkuu ni facts tu, halafu mimi sio shabiki tu ni mtaalam khasa wa haya masuala ya uchambuzi hasa mpira.


Kila kocha anakua na mipango Yake mbali mbali ktk kufikia mafanikio ya timu na wachezaji pia!

Sasa kuzishambulia timu kwamba zinaharibu vipaji vya wachezaji bila kuzingatia sera na mipango ya kocha na timu ktk mafanikio inakua sio pouwa! Mi ningekuelewa vzr km ungejikita vzr ktk haya juu! Lkn Zaidi nimeona umeongea kiushabiki na mapenzi ya timu yako!
 
cech to arsenal is almost a done deal, good signing so far by the gunner, in fact nampenda sana cech ningependa sana angekua mrithi wa de gea but ndio HVO mshamchukua, good signing, safi sana Wenger
 
cech to arsenal is almost a done deal, good signing so far by the gunner, in fact nampenda sana cech ningependa sana angekua mrithi wa de gea but ndio HVO mshamchukua, good signing, safi sana Wenger

Ahsanteh proff Wenger
 
cech to arsenal is almost a done deal, good signing so far by the gunner, in fact nampenda sana cech ningependa sana angekua mrithi wa de gea but ndio HVO mshamchukua, good signing, safi sana Wenger
Good deal na CHicharito Amerudi....
 
Prof amefungua pochi na habari ambazo hazijathibitishwa na Gunners ni kwamba mchezaji wa SA Morgan Schneiderlin yupo njiani kukamilisha usajili vile vile golikipa wa ziada wa mafioso Cech mate yupo njiani kutua Colney .... ..... .. total cost £36 million .... ..... ..

Ospina ataenda kwa mkopo kucheza nje ya UK na Wojciech Szczesny atakuwa No. 2 kutokana na yeye kuwa home grown player, prof anaangalia jinsi ya kumiliki idadi ya foreign players .... .
 
Prof amefungua pochi na habari ambazo hazijathibitishwa na Gunners ni kwamba mchezaji wa SA Morgan Schneiderlin yupo njiani kukamilisha usajili vile vile golikipa wa ziada wa mafioso Cech mate yupo njiani kutua Colney .... ..... .. total cost £36 million .... ..... ..

Hiyo ya morgan nimeona ila sijaamini bado mpaka niione walau Skysports kiasi kikubwa wako reliable source au BBC
 
Hiyo ya morgan nimeona ila sijaamini bado mpaka niione walau Skysports kiasi kikubwa wako reliable source au BBC

Mkuu usiwe na wasi wasi hao BBC na SKY Sports sisi ndio tunawapa habari patamu hapo khe khe kje khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mambo ya Alaska hayo ..... .... we are nearer than what you think.
 

Mkuu usiwe na wasi wasi hao BBC na SKY Sports sisi ndio tunawapa habari patamu hapo khe khe kje khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mambo ya Alaska hayo ..... .... we are nearer than what you think.

tukimpata huyu jamaa...hakika tutakuwa 2meshakamilika
 
Duh kama kuna usajili nausubiri kwa hamu ni wa Morgan nilisikitika dirisha dogo tulivyoshindwa na hapa juzi tetesi zilikua Man U walikua na chance ya kumsajili Prof atafanya vema akimleta uyu jamaa.
 
Aisee bora hayo majembe yawai mapema ili tuanze mishemishe tarehe 2 august tuanze kuondoa gundu kwa wazee wa daraja la manzese
 
11036991_10104015998319072_1915005939960743522_n.jpg
 
Back
Top Bottom