Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

2935124F00000578-3134744-image-m-5_1435001122676.jpg



Prof kama kawa .... ..


Neno la leo: You only move from a small club to a bigger club with ambitions.

 
Arsenal and injuries.How long it will take Cech joining the likes of Ramsey , Diaby , Wilshere,Ox etc in the treatment room? Self-banter... Arsenal kinachotuangusha sana ni injuries nyingi kila msimu.

Usiseme hvyo...ikumbukwe benchi zima la madaktari la arsenal ni jipya limeanza kazi msimu uliopita...na lengo kuu la arsenal ni kubadilisha jinsi wachezaji wanavyotibiwa na kufuatilia mwenendo mzima wa fitness yao....ikumbukwe majeraha mengi ya wachezaji ni kuchezeshwa mechi nyingi ngumu bila kuwa na match fitness inapelekea kuumia kwa haraka...lets hope hawa madaktar watamshauri wenger vizur juu ya mchezaji gan apumzishwe ili kupunguza wimbi la majeraha
 
Arsenal and injuries.How long it will take Cech joining the likes of Ramsey , Diaby , Wilshere,Ox etc in the treatment room? Self-banter... Arsenal kinachotuangusha sana ni injuries nyingi kila msimu.

Makipa hawanaga Long term injuries
 
Google Fabiasnki at Arsenal , Saints #1 Gk

huwa inakuwa special cases....nafikiri kwa makipa ni yeye tu ndo alikuwa Prone

Na physio wameletwa wapya kama uliangalia game ya mwisho....walcott na wilshere baada ya kufunga wote kwa nyakati tofauti kuna mtu kwenye bench walikuwa wanaenda kum hug...huyo jamaa ni Super Expert katika Kumaliza matatizo ya injuries hasa Sugu
 
29F585B900000578-0-image-a-3_1435223249505.jpg



Alexis anaendelea kutesa .... .... Ding ....Dong.

Huyu cha mtoto ,funga kazi ni Ospina eeee bana eee amefanya kazi yake vilivyo tokea mwanzo amewakilisha vyema haswaaa jana japo walitolewa lakini kazi aliyoifanya jana si ya kitoto
 
Average player....Arsenal wanahitaji WORLD CLASS STRIKER

Bado nina imani aubemyang ni chaguo sahihi kwa mzee Wenger. Ana record nzuri na ya kutosha kabisa kumuweka ktk high class striker.
Amefunga goli 30 ktk michezo 60+, lakini pia ni top scorer wa Dortmund msimu uloisha.
Na uefa keshapiga 2. Bado unataka nino tena hapo mkuu.
 
Bado nina imani aubemyang ni chaguo sahihi kwa mzee Wenger. Ana record nzuri na ya kutosha kabisa kumuweka ktk high class striker.
Amefunga goli 30 ktk michezo 60+, lakini pia ni top scorer wa Dortmund msimu uloisha.
Na uefa keshapiga 2. Bado unataka nino tena hapo mkuu.

Arsenal kama wana go for striker au mchezaji yoyote wamesema safari hii ni WORLD CLASS players baasi maana wanahitaji only 3 players watengeneze timu ya Ushindani mkubwa wa EPL

Aubemyang Bado ni aina ya akina HARRY KANE anaweza kuwa Top class lakini sio World Class player

kama anapatikana Benzema like au wengine ni bora zaidi....

maana ukinagalia mtu kama Welbeck ana kipaji anahitaji Confidence na mtu wa kujifunza kwake....

To me NO to AUBEMYANG ....bado sana we need an UPGRADE
 
Arsenal kama wana go for striker au mchezaji yoyote wamesema safari hii ni WORLD CLASS players baasi maana wanahitaji only 3 players watengeneze timu ya Ushindani mkubwa wa EPL

Aubemyang Bado ni aina ya akina HARRY KANE anaweza kuwa Top class lakini sio World Class player

kama anapatikana Benzema like au wengine ni bora zaidi....

maana ukinagalia mtu kama Welbeck ana kipaji anahitaji Confidence na mtu wa kujifunza kwake....

To me NO to AUBEMYANG ....bado sana we need an UPGRADE

Imagine NOT rating Aubameyang..
 
Back
Top Bottom