Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Nzi,
Hongera kwa kushinda leo siku hizi muda wangu ni mchache hata gemu ya leo nimeiona hivi dakika chache zilizopita,
Sikujua kama Manu na wao wanapaki basi, nilifikiri hii formation haihusiani na nyinyi
Hongera
Kwa hali ya majeruhi tuliyo nayo, counter attacking was the only game plan....and we mastered it!
Sasa hivi huwezi kujiuliza inakuwaje unafungwa na timu iliyokuwa inapaki basi? Jibu ni kuwa, hiyo ni ishara wa ubovu na ukosefu wa game plan. Goons wana game plan moja tu kwa kila mechi, dhidi ya kila timu, na kila mashindano. Hilo tatizo la Wenger, hawezi kubadili tactics kutokana na mazingira ya mechi husika. Kwa hili, ataendelea kuwa specialist in failure.