Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal in EPL last 10 years be like this

11430351_1619153685009869_5708396506456385090_n.jpg


 
Kashengo, nimeiona hii news. Sasa nakubali(uhakika) kwa over 75% kuwa Cech anaweza ku-move kaskazini, nitakuwa 100% wakisha confirm katika sources Skysports, BBC, Arsenal websites. Naona leo Skysports wanasema atafanya medical wiki ijayo baada ya makubaliano ya fees.
Nzi, nipo mkuu. Nimechukuwa chatting Sabatical ya JF kwa muda.
Ilani kwa Wa-Gooners wenzangu. Kumpata Cech sio kuwa ita guarantee sisi kubeba ubingwa. Pamoja na kuwa ni kipa mzuri kuliko tulionao (Shezzy, Ospina na Martinez) uzuri wake utategemea uimara na umakini wa beki wetu. Kipa mzuri anategemea uzuri wa mabeki wake. Arsenal tunatakiwa tuwe na mabeki walio imara na kupunguza idadi ya majeruhi tunaopata kila msimu ili tuwe real title challengers ama sivyo tutakuwa kama Manchester United walio na kipa mzuri lakini beki yao ni nyoronyoro kwa misimu 2 iliyopita.
 
Martinez achoropokea Athletico Madrid.

Alikuwa akihitaji assurances kwamba atakuwa ndie chaguo la kwanza kwenye first 11.

Arsenal bado wanae Giroud na Walcott ambae huenda akaishia kuwa mashambukiji kamili kwenye msimu ujao.

Na kwa kuwa Athletico wamemwachia Mario Mandzukic aende Juventus, basi hio imetoa mwanya kwa Martinez kuamua kwenda huko badala ya Arsenal (jambo ambalo linaeleweka) ambako atakuwa ndie namba 9 wao wa kwanza na mkataba wa miaka 4 unatosha kabisa.
 
Kashengo, nimeiona hii news. Sasa nakubali(uhakika) kwa over 75% kuwa Cech anaweza ku-move kaskazini, nitakuwa 100% wakisha confirm katika sources Skysports, BBC, Arsenal websites. Naona leo Skysports wanasema atafanya medical wiki ijayo baada ya makubaliano ya fees.
Nzi, nipo mkuu. Nimechukuwa chatting Sabatical ya JF kwa muda.
Ilani kwa Wa-Gooners wenzangu. Kumpata Cech sio kuwa ita guarantee sisi kubeba ubingwa. Pamoja na kuwa ni kipa mzuri kuliko tulionao (Shezzy, Ospina na Martinez) uzuri wake utategemea uimara na umakini wa beki wetu. Kipa mzuri anategemea uzuri wa mabeki wake. Arsenal tunatakiwa tuwe na mabeki walio imara na kupunguza idadi ya majeruhi tunaopata kila msimu ili tuwe real title challengers ama sivyo tutakuwa kama Manchester United walio na kipa mzuri lakini beki yao ni nyoronyoro kwa misimu 2 iliyopita.

Cech will add a Difficult wall behind the defence na kuwapanga....thats for sure

Next season Per atakalia kuti kavu kuna hatari Paulista akachukua Number pale nyuma na per atakuwa na limited Playing time
 
Kashengo, nimeiona hii news. Sasa nakubali(uhakika) kwa over 75% kuwa Cech anaweza ku-move kaskazini, nitakuwa 100% wakisha confirm katika sources Skysports, BBC, Arsenal websites. Naona leo Skysports wanasema atafanya medical wiki ijayo baada ya makubaliano ya fees.
Nzi, nipo mkuu. Nimechukuwa chatting Sabatical ya JF kwa muda.
Ilani kwa Wa-Gooners wenzangu. Kumpata Cech sio kuwa ita guarantee sisi kubeba ubingwa. Pamoja na kuwa ni kipa mzuri kuliko tulionao (Shezzy, Ospina na Martinez) uzuri wake utategemea uimara na umakini wa beki wetu. Kipa mzuri anategemea uzuri wa mabeki wake. Arsenal tunatakiwa tuwe na mabeki walio imara na kupunguza idadi ya majeruhi tunaopata kila msimu ili tuwe real title challengers ama sivyo tutakuwa kama Manchester United walio na kipa mzuri lakini beki yao ni nyoronyoro kwa misimu 2 iliyopita.

Kingine kama wamesema atafanya medical next week hatujui Cech yuko wapi (may be Holiday) walikuwa wana deal na wakala wake

Arsenal wanaficha sana deals zao wanasema deal done mpaka wampime kbs na afaulu....laiti ingekuwa chelsea wamechomoa HAKUNGEKUWA NA MEDICAL issues maana hamfanyi medical mpaka Kuwa na agreement ya Fee ya uhamisho

mi naona una presha kaka
 
Kutoka bbc.com/football page ya mbele inasema cech amekubaliana na arsenal na anafanya vipimo leo hii
 
Arsenal and injuries.How long it will take Cech joining the likes of Ramsey , Diaby , Wilshere,Ox etc in the treatment room? Self-banter... Arsenal kinachotuangusha sana ni injuries nyingi kila msimu.
 
Back
Top Bottom