Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
kumuacha Ospina Kumnunua Cech Ni Matatizo Ya Akili
Wenger badala ya kumuuza Shenzy anamuuza Ospina
kumuacha Ospina Kumnunua Cech Ni Matatizo Ya Akili
Wenger badala ya kumuuza Shenzy anamuuza Ospina
Ni rumours kuwa Ospina atauzwa uturuki. Sitoshangaa kuona Ceck haji Arsenal na Ospina anabaki number one kipaWenger badala ya kumuuza Shenzy anamuuza Ospina
Ni rumours kuwa Ospina atauzwa uturuki. Sitoshangaa kuona Ceck haji Arsenal na Ospina anabaki number one kipa
Ni rumours kuwa Ospina atauzwa uturuki. Sitoshangaa kuona Ceck haji Arsenal na Ospina anabaki number one kipa
Cech is coming for sure
TWEET ya LAUREN jioni hii
Deal laweza kutangazwa Jumatatu
Ospina anaondoka....may be part ya makubaliano ni lazima awe undispitued First eleven na ndo aje
huwezi kukaa na three top class keepers lazima mmoja apishe, sadly Ospina is likely the victim
Ukweli ulio wazi Peter cech ni world class golie anawazidi Hawa tulionao ubishi tukiuweka pembeni na huruma juu ya ospina kwa kuwa ni msimu wake wa kwanza
Peter in then we mean business
Makipa wote Cheza na Ospina wawapo golini hawafanyi mawasiliano mazuri na mabeki na hata kuwapanga mabeki na kuzungumza na mkoba Mertesacker kila mara.
Kwa wale mnaomkumbuka David Seaman alikuwa kipa imara na aliweza kuwasiliana na ngome ya Arsenal iliyoongozwa na Tony Adams kwa ufanisi mkubwa. Pia kipa mwingine Jens Lehman nae alikuwa akiwasiliana vizuri tu na ngome yake ikiongozwa na Sol Campbell na hata Arsenal ikawa na ngome ngumu wakti ule.
Kuna magoli ambayo Arsenal wamefungwa na ambayo yametokana na kukosekana mawasiliano mazuri kati ya kipa na mabeki wake, na Ospina na Cheza wametambulishwa hivyo.
Cheza ana tatizo la kutoka kabla na hivyo kuwafanya washambuliaji kufunga kirahisi tena kutokea nje ya eneo la 18.
Ospina nae ana tatizo la kujipanga awapo golini na wakati mwingine anajikuta akipishana na mpira ukiingia wavuni kwani mabeki wake wanakuwa wametengeneza blind spot kubwa tu kuweza kufungwa magoli ya kijinga.
Kwahio ili kurudisha ngome imara na kipa imara mwenye uzoefu wa kutosha sifa ambazo Petr Cech anazo.
kipindi hiki kila mtu mwenye Twitter na at least 5000 followers ulaya anajiita ni "in the know " transfer expert.Nasubiri hadi news ziwekwe ktk bbc,skysports au clubs websites ndo nitaamini nani kanunuliwa na club ipi, vingine ni rumors kwangu
Nitofautiane na wewe Ospina hana tatizo sana....
amekuwa Mchezaji muhimu katika Unbeaten run kuelekea mwisho wa msimu
tukubaliane kuwa Peter cech ni UPGRADE ya makipa wote waliopo kwa Uzoefu mkubwa alionao so far na age yake ya 33 anaweza kucheza mpaka 40 bila shida
Lehmann alisajiliwa akiwa na 32 na Van der sar alienda manure akitokea Fulham akiwa na 34
Ukiangalia vizuri Cech hawezi kuja kichwa kichwa....lazima aweke Terms so long as Arsenal wameonesha Nia ya dhati kumchukua na Term ni KUDAKA kama Kipa number moja kila siku bila ubishi....
Upgrade ya Cech ni kama leo hii hatulalamiki sana kwenye mabeki wa kati tuna Surplus lakini Imagine THIAGO SILVA anakuwa Available na anataka kuchezea Arsenal?
Hata chizi hawezi kuacha kumchukua
Mbona ham-update main/ homepage yenu?? mmelidhika???
Wenger badala ya kumuuza Shenzy anamuuza Ospina
kumuacha Ospina Kumnunua Cech Ni Matatizo Ya Akili
Petr Cech lazima atam badilisha tu Ospina dah itakua kituko
Ndo maana Chelsea walitaka Oxlade awe part ya deal ya cech
City kukomaa na Raheem wana deficit ya 5 homegrown player katika Kikosi chao cha watu 25
Chelsea wamehamia kwa Song kukamilisha idadi
Belo Ntuzu BAK Nzi rubaman Richard
You can read more here
Why are Man City, Liverpool and Chelsea chasing home-grown players in the transfer window? | Football News | Sky Sports - Why are Man City, Liverpool and Chelsea chasing home-grown players in the transfer window? | Football News | Sky Sports
Arsenal ndio timu pekee yenye kufanya jitihada za kukuza vipaji ya wachezaji wadogo na kuviendeleza.
Man City na Chelsea ndizo zinaongoza kwa kuwaharibu wachezaji hao na kuwahabiria uwezo wa kucheza mpira wa kiwango cha juu.
Man City wameharibu kipaji cha Micah Richards kiasi cha kumpeleka Fiorentina kuchza kwa mkopo. Pia wamemharibu Scott Sinclair ambae hadi saa hajachezea timiu hiyo kipindi chote alichokaa akiwa Man City.
Chelsea walitaka kumharibu Ryan Bertrand ambae sasa anacheza vizuri tu pale Southampton.
Raheem Sterling akienda Man City na wakati huohuo Paul Pogba pia asajiliwe si utamweka Streling bench?
Au Song akienda Chelsea vipi kuhusu Julian, Fabregas au Oscar?
Hizi timu zinataka kukamilisha idadi tu ili kukidhi matakwa ya FA na sio kuendeleza vipaji vya wachezaji hao.