Game ishakuwa rahisi hii,inabidi tuongeze magoli tu,washainamia kibra hawa mbwehA
Msimu wenu ulishaisha kombe lenu (top 4) mlishachukua hakuna jipya
Walishindwa wachezaji wa loserfool kufa uwanjani last season sasa hii itakuwa kwenuIle ni Man City na hii ni Chelsea Mkuu!
Tena Mkuu usifikiri kwamba ni utani Mkuu!
Haiwezekani na haitowezekana bado michezo 7 ligi iishe na tuna mchezo mmoja mkononi alafu tunaongoza kwa tofauti ya points 7 mpk 8 dhidi ya washindani wetu waliochomoza hivi karibuni alafu eti tushindwe kuchukua kombe!? Yani ata km kwa kufia uwanjani wachezaji watakufa safari! Alafu washindani wetu ndio tunakutana na nyie hivi karibuni alafu tuwaache kweli? Huu utakua ni wehu kabisa.
Msimu wenu ulishaisha kombe lenu (top 4) mlishachukua hakuna jipya
3 points kibindoni. Imebaki City kuwapumzisha wale #mburukenge wa mtaa wa saba kesho
Burnley walicheza footbasketball leo. Asilimia kubwa wamecheza mipira ya juu kama Stoke city, Bolton Wanderers walivyokuwa wanafanya.
3 points kibindoni. Imebaki City kuwapumzisha wale #mburukenge wa mtaa wa saba kesho