Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pamoja sana mkuu Sizinga kitambo sana mkuu Jana siye tulijipatia kitoweo cha Pasaka Jogoo alikuwa mtamu kweli.
Agh bhana, kuna majukumu flani ya kazi zangu aisee yananitoa kabisa mchezoni...yaani nakuwa mtu wa kusoma tu fastafasta bila kuchangia, lakini ngoja nitaback on fire soon...tuendeleze Libeneke mkuu...!! Ila nawasoma sana tu akina BAK na wengineo hapa!!
 
Last edited by a moderator:
Chifu, mimi siyo mchumi, ila naomba unielimishe hapa.

Man United ina utajiri kuliko Arsenal. In fact, ni klabu tajiri ya 3 duniani kwa vilabu vya soka. Na mwakani itaanza kufahudu a 75M Quid kit deal na Adidas (a world record breaker).

Sasa, kwa maelezo yako unaonyesha kuwa Arsenal wana purchasing powers kuliko United ama?

Akaunti ya Arsenal imetuna kuliko ya United?!

Nielemishe chifu.
Mkuu usije ukawa ulikuwa umewaza labda nimekimbia, la hasha nilikuwa nashughulikia mambo yangu ya ujasiri mali pamoja na kutfuta few facts kuhusu hizi timu mbili.

Hapana simaanishi kwamba kuna tofauti ya kutuna kwa akaunti kati ya timu hizi ila ni kiasi gani cha deni kinaweza kuathiri matumizi ya kwaida kama kununua wachezaji.

Pia ni kweli Man Utd ni klabu tajiri ya tatu duniani ni hiyo ni kutokana na jina lake na kwamba hiyo Corporation ni Asset yenye thamani kubwa.

Arsenal nao wana deal la paundi milioni 300 kutokana na ufadhili wa Puma ambazo wanaweza kumaliza kabisa matatizo madogomadogo.

Haya tuendelee.

Deni la uwanja ambalo Arsenal ilikopa benki ili kujenga uwanja likikuwa kwenye paundi milioni 300 hivi.

Niliposema Arsenal wana "disposable income" ni kwamba wana uwezo wa kutumia pesa ambayo iko kwenye "cash reserve" pesa ambayo imetokana na mapato makubwa ambayo ni jumla ya paundi milioni 298.7.

Katika hii milioni 298.7 kuna pesa inayotokana na mapato ya uwanjani milioni 100.2 kwa kila mechi na uwanja unapojaa yaani watu 60,000 na ushei hivi, pesa inayotokana na matangazo kwenye telly paundi milioni 120.8 na milioni 77.7 zinatokana na mauzo ya jezi na mambo mengine au tunaita "commercial revenue".

Arsenal inalipa mishahara jumla ya paundi milioni 166.4 ambayo ni asilimia 66 ya mapato yake.

Kwa hio mapato mazuri yanaziba deni kiasi cha kuweza kusajili wachezaji kama Mesut Ozil (42 milioni) na Alexis Sanchez (35 milioni)

Man Utd wana deni kiasi cha paundi milioni 342 ambazo familia ya Glazer ilikopa kwenye mabenki kwa niaba ya Man Utd yaani walikopa kwa kutumia Man utd kama Asset yao kujikinga na deni.

Mapato yote ya Red Devils ni jumla ya mlioni 433.1 , kila mechi moja inaingiza milioni 108.1, deals za telly ni 135.7 na commercial revenue ambayo ndio njia kuu ya mapato ni paundi milioni 189.3

Katika mapato hayo unatoa mishahara milioni 215 ambazo ni asilimia 50 ya hayo mapato na kutokana na kuwa na kiasi kikubwa cha mapato timu hii bado inaweza kusajili wachezaji kama Angel Di Maria ambae aligharimu paundi milioni 59.7.

Isitoshe Man Utd wanalipa mishahara mikubwa kwa Wayne Rooney na Robin Van Persie ambayo ni zaidi ya paundi milioni 250,000 kwa wiki.

Isitoshe wakati wa kiangazi mwaka jana walikwenda tena benki kuongeza deni kwa kuchukua paundi milioni 150 wazitumie kwenye usajili wa wachezaji unaowaona leo.

Arsenal waliandika tu hundi kwa Mesut Ozil na Alexis Sanchez wasajiliwe, kwasababu wana "disposable income".

Kwahio "facts" ni kwamba Arsenal wana mapato mazuri yanayoziba madeni na kuweza kulimaliza mapema na pia kuweza kushindana kwenye usajili wa wachezaji, wakati Man Utd bado wana deni kubwa ( kumbuka akina Glazer wanaweza kusepa zao na kuachia Man Utd iuzwe kufidia madeni) na pia wanatumia asilimia 50 ya mapato yao kulipa mishahara.

Hizi Data nimezipata kutoka kwenye website ya Premier League.

Nimeyapenda hayo Maelezo...Big up kwa Facts!! You Shared.
 
275A164C00000578-0-image-a-3_1428437971477.jpg


The road to recovery .... ... Jack and Diaby ... today at Emirates

2759ED2A00000578-0-image-a-6_1428437988394.jpg


275A672600000578-0-image-a-4_1428437980283.jpg


Alexi Iwobi under 21 scorer of a hat-rick against Stoke under 21


275A680300000578-3029387-image-a-21_1428438361363.jpg


275A14D300000578-0-image-m-8_1428438024779.jpg


Arteta was there as well .... ...

275A164500000578-0-image-a-17_1428438085753.jpg


Diaby in full swing ... . .

Matokeo Gunners 4 - 1 Stoke
 
Tarehe 26 ifike haraka ili tuwapige hawa Gunners maana wamezidi kelele!

Tumechoka sasa tuwapige tu! Eeeh. Tuwapige tu!
 
bodo kwanza, kuna gemu ngumu mbele yenu


Game mbili ndio mgumu ndio za kuchukulia ubingwa!

Chelsea vs Man Utd tarehe 18

Arsenal vs Chelsea tarehe 26

Hawa kwa sasa ndio wapinzani wetu. Na Dawa yenu ni kuwapiga tu. Liwalo na liwe mpigwe tu!
 
Game mbili ndio mgumu ndio za kuchukulia ubingwa!

Chelsea vs Man Utd tarehe 18

Arsenal vs Chelsea tarehe 26

Hawa kwa sasa ndio wapinzani wetu. Na Dawa yenu ni kuwapiga tu. Liwalo na liwe mpigwe tu!


Malizaneni kwanza na hao QPR ndio mje kwetu, mtatoa droo hadi mkome.
 
Sio rahisi kama unavyodhani. Mechi ya QPR yaweza kuwa ngumu kwenu kuliko hata ya arsenal. Hamtoki kwa QPR...


Kiongozi ili tuwe ktk mazingira mazuri ya kuchukua kombe! Mchezo wetu na QPR lazima tushinde vyovyote vile! Alafu tukikutana na nyie mnaowania ubingwa km sisi tunatafuta sare tu! Tukifanya hivo tunakua tayari mabingwa!
 
Game mbili ndio mgumu ndio za kuchukulia ubingwa!

Chelsea vs Man Utd tarehe 18

Arsenal vs Chelsea tarehe 26

Hawa kwa sasa ndio wapinzani wetu. Na Dawa yenu ni kuwapiga tu. Liwalo na liwe mpigwe tu!
kipindi kama hichi cha mwisho arsenal huwa hawaharibu hata kidogo, ndio maana ata FA tayari tunalinyakua tu, kinachowafanya kuwa katika kiwango ni kupona kwa majeruhi wao
wilshere amerudi, arteta amerudi, saivi ni mwendo wa kushinda tu. tunasubiri gemu yenu na man u tuwaangalie, mkiharibu basi kwa arsenal hamtoki
 
kipindi kama hichi cha mwisho arsenal huwa hawaharibu hata kidogo, ndio maana ata FA tayari tunalinyakua tu, kinachowafanya kuwa katika kiwango ni kupona kwa majeruhi wao
wilshere amerudi, arteta amerudi, saivi ni mwendo wa kushinda tu. tunasubiri gemu yenu na man u tuwaangalie, mkiharibu basi kwa arsenal hamtoki

Kuharibu kwa Man hicho kitu hakipo kabisa na kwenu msahau kabisa km mtaweza kutufunga. Sasaivi kila mchezo tunaocheza ni km fainaly kwetu!

Alafu ata km tukafungwa na wewe na ManU then michezo mingine yote tukashinda bado tu mtaweza kuchukua ndoo kutona na pengo la points lililopo? Hamuwezi ata kidogo.
 
Kuharibu kwa Man hicho kitu hakipo kabisa na kwenu msahau kabisa km mtaweza kutufunga. Sasaivi kila mchezo tunaocheza ni km fainaly kwetu!

Alafu ata km tukafungwa na wewe na ManU then michezo mingine yote tukashinda bado tu mtaweza kuchukua ndoo kutona na pengo la points lililopo? Hamuwezi ata kidogo.


Hivi Ntuzu, unakumbuka hadi December mlikuwa points ngapi mbele yetu??
 
Last edited by a moderator:
May sio mbali mkuu. Man city alifanya the same last season....


Ile ni Man City na hii ni Chelsea Mkuu!

Tena Mkuu usifikiri kwamba ni utani Mkuu!

Haiwezekani na haitowezekana bado michezo 7 ligi iishe na tuna mchezo mmoja mkononi alafu tunaongoza kwa tofauti ya points 7 mpk 8 dhidi ya washindani wetu waliochomoza hivi karibuni alafu eti tushindwe kuchukua kombe!? Yani ata km kwa kufia uwanjani wachezaji watakufa safari! Alafu washindani wetu ndio tunakutana na nyie hivi karibuni alafu tuwaache kweli? Huu utakua ni wehu kabisa.
 
Kuharibu kwa Man hicho kitu hakipo kabisa na kwenu msahau kabisa km mtaweza kutufunga. Sasaivi kila mchezo tunaocheza ni km fainaly kwetu!

Alafu ata km tukafungwa na wewe na ManU then michezo mingine yote tukashinda bado tu mtaweza kuchukua ndoo kutona na pengo la points lililopo? Hamuwezi ata kidogo.

musifungwe kwa nini na huu ni mpira, tusubiri siku zisogee mbele, ndani ya weekend hii kuna timu kubwa zitalia, wewe subiri tu mkuu tusiongelee mechi kati ya man u na arsenal bado mapema, ila ligi bado ngumu
 
Mkuu b5-click njoo huku ili jukwaa la waheshimiwa lithibitishe kauli yako. Thibitisha yale tuliyokubaliana kule darajani.
Cc. Ntuzu, Mentor na chief Invisible.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom