everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Mtani kesho sijui nikae kushoto au kulia??
Mkuu kesho naiwe 0-0, 1-1, 2-2, 3-3,... Katika hali hiyo basi hutakiwi kuwa upande wa everlenk. Usifungamane mkuu...
Mkuu Eli79 mshindi wa kwanza ni kati ya sisi au chelsea. Man city na united ni 3 na 4 so usiwe na wasiwasi mkuu
Mimi hata siongei tena mchana nimeongea mengi sana kule Chelsea,masaa yamebaki machache mtanange mtaushuhudia kwa macho yenu........
Last edited by a moderator: