Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1428770061353.jpg
 
Hawajiamini hawa....ngoja wapigwe tu Leo.

Nhamala;
Hakuna timu inayoingia uwanjani kwenye English premier League ikiwa inajiamini.

League hii siyo sawa na La Liga, kwa maana hiyo ndiyo maana inapendwa zaidi ulimwenguni.

Kujiamini na kufahamu utashinda kabla ya mchezo ni upumbavu.

Hukujifunza kwenye match yako na Bradford!
 
Nhamala;
Hakuna timu inayoingia uwanjani kwenye English premier League ikiwa inajiamini.

League hii siyo sawa na La Liga, kwa maana hiyo ndiyo maana inapendwa zaidi ulimwenguni.

Kujiamini na kufahamu utashinda kabla ya mchezo ni upumbavu.

Hukujifunza kwenye match yako na Bradford!

Umepotea sn Mkuu! Umekuja baada ya kuona timu yako iko nafasi ya pili!??

Mhala ahene ngalo?
 
Burnley wanacheza kula ushibe ubebe lumbesa, jamaa wapo very physical leo. Arsenal mwaka huu 2015 timu zinategemea physical game tunazichezea triple physical game. Msuli kwa msuli tu. Uzuri hatupewi kadi za kijinga jinga kama miaka ya nyuma.
 
Watangazaji wa England wameshaanza. Eti Arsenal hawapangi wachezaji wazawa. Kila wakati Arsenal inapoanza kucheza vizuri Anti-Arsenal wanakuja na jipya. Kuna wachezaji 4 wazawa benchini still wanalalamika. Sijawahi kusikia wakilalamikia Chelsea kumpangaa Terry peke yake ? Tuendelee....
 
Waliokuwa wanamsakama Monreal mpo wapi? Jamaa kacheza vizuri msimu mzima kuliko Gibbs. Wenger na benchi lake wanalijua hili.
 
Umepotea sn Mkuu! Umekuja baada ya kuona timu yako iko nafasi ya pili!??

Mhala ahene ngalo?

Ngosha;

Mimi nipo pamoja na kupata majukumu mengi ya kikazi lakini huwa ninapita hapa mara kwa mara.

Hongera kwa kutumia pesa zako vizuri kiasi katika football transfer ambapo uko kileleni kwenye Premier League!.
 
Back
Top Bottom