Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,895
- 11,288
Mkuu pole sn rafiki yangu...napenda sn jinsi ulivyo na busara kwa kuelewa maana ya michezo...Mara nyingi hua tunataniana lkn dakika 90 ndio kila kitu.
Mtakua na pengo la Skrtel na Can ktk michezo yenu miwili ijayo.
Bora BAK umeliona hilo maana akikununia huyo utaomba ardhi ipasuke..
Safi sn....kaka yako yuko pouwa sn anajua maana ya michezo haswaa.
Bigup sn Malafyale
Hata ww sasa unayaogopa Majogoo!BB kalala pale pale kwake
Nakuja Darajani kukuchana chana kabisa
Last edited by a moderator: