Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Japokuwa alitamba sana huruma ya kindugu imenishika naomba tumsamehe kile kigodoro chetu hakitakuwepo, samahanini kwa usumbufu damu nzito kuliko maji, lol
Hahahahaaaa
Japokuwa alitamba sana huruma ya kindugu imenishika naomba tumsamehe kile kigodoro chetu hakitakuwepo, samahanini kwa usumbufu damu nzito kuliko maji, lol
Japokuwa alitamba sana huruma ya kindugu imenishika naomba tumsamehe kile kigodoro chetu hakitakuwepo, samahanini kwa usumbufu damu nzito kuliko maji, lol
Hongereni Arsenal
Mlistahili ushindi
Mlikuwa bora dimbani zaidi yetu
Ndiyo soka tutarudi Melwood kuangalia wapi tulikwama tujirekebishe!
Hongereni Arsenal
Mlistahili ushindi
Mlikuwa bora dimbani zaidi yetu
Ndiyo soka tutarudi Melwood kuangalia wapi tulikwama tujirekebishe!
Kwa Mara ya kwanza historia inawekwa hapa jamvini kaka yangu amekubali matokeo, ubarikiwe sana na pole kwa yote ndo soka hilo.
Arsenal wametupiga kihalali
Man U ni furumbu furumbu tu ilikuwa
Hongereni Arsenal
Mlistahili ushindi
Mlikuwa bora dimbani zaidi yetu
Ndiyo soka tutarudi Melwood kuangalia wapi tulikwama tujirekebishe!
Hilo la damu nzito kuliko maji nalijua sana ndio sababu nampa pole kaka yako ili usije kuninunia bure kwa kumkwaza kaka mpendwa 🙂🙂
Kwa Mara ya kwanza historia inawekwa hapa jamvini kaka yangu amekubali matokeo, ubarikiwe sana na pole kwa yote ndo soka hilo.
Umesahau tulimpiga Villa goli 5 Emirates ?Goli sita tutawapiga nyinyi second old Trafford visit yetu muda si mrefu kutoka Leo.Ongeza magoli,hivi lini mtashinda goli tano au sita mnapata chance hamzitumii
Arsenal wametupiga kihalali
Man U ni furumbu furumbu tu ilikuwa
Hongereni Arsenal
Mlistahili ushindi
Mlikuwa bora dimbani zaidi yetu
Ndiyo soka tutarudi Melwood kuangalia wapi tulikwama tujirekebishe!
Mkuu walikudischarge au ulitoroka hospitali without a doctor's release note ? Goli 4 plus red card ya mwishoni mwa mechi lazima vilikupeleka wodini. Angalieni red cards zinazidi kuongezeka, mtabakiwa na wachezaji 4 ktk mechi zilizosalia .Arsenal wametupiga kihalali
Man U ni furumbu furumbu tu ilikuwa