Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msijidanganye kama mtayapiga Majogoo yakija Emirates week ijayo!

SG kawapa points 3 Man U lkn kwenu atashuka dimbani kijana Lucas Leiva

Mtashuhudia mechi maridadi mkizamishwa kwenu Emirates
 
Msijidanganye kama mtayapiga Majogoo yakija Emirates week ijayo!

SG kawapa points 3 Man U lkn kwenu atashuka dimbani kijana Lucas Leiva

Mtashuhudia mechi maridadi mkizamishwa kwenu Emirates

who is lucas?na nadhani hi si mara ya kwanza kwa lucas kuja kupotezwa emirates
 
DonDonald chama lako " Three Lions" limegonga the Mighty Lithuania goli 4. Rooney anadai timu nyingine zijichunge..
 
Good News- Wodi ya wagonjwa sasa hivi ipo almost EMPTY . Diaby, Arteta, Debuchy, Wilshere, Gnabry wote wameshapona. Kina Malafyale mtarajie kupata kipigo cha mbwa mwizi jumamosi. Baada ya Kop wale #Mburukenge wa Manchester kina Nzi and company mkae mkao wa kula, tutakuja tena kuwapa kipigo nyumbani kwenu.
 
Good News- Wodi ya wagonjwa sasa hivi ipo almost EMPTY . Diaby, Arteta, Debuchy, Wilshere, Gnabry wote wameshapona. Kina Malafyale mtarajie kupata kipigo cha mbwa mwizi jumamosi. Baada ya Kop wale #Mburukenge wa Manchester kina Nzi and company mkae mkao wa kula, tutakuja tena kuwapa kipigo nyumbani kwenu.

Utakula maneno yako!
 
RRONDO uteja wa kugongwa Old Trafford unakaribia kuisha. Angalia anga linavyoanza kuwa jeusi na moshi unavyoanza kufuka.
 
RRONDO uteja wa kugongwa Old Trafford unakaribia kuisha. Angalia anga linavyoanza kuwa jeusi na moshi unavyoanza kufuka.

Ile ofa ya LVG kuwapangia kikosi dhaifu usidhani itatokea tena. Kuna tofauti kubwa kati ya approach ya LVG na Wenger kwenye kombe la FA, kwa Arsenal FA Cup ndio imekuwa faraja kwa miaka mingi sasa sioni sababu ya kwanini asiwekeze nguvu zote na kikosi chake cha kwanza.
 
Msijidanganye kama mtayapiga Majogoo yakija Emirates week ijayo!

SG kawapa points 3 Man U lkn kwenu atashuka dimbani kijana Lucas Leiva

Mtashuhudia mechi maridadi mkizamishwa kwenu Emirates

Mechi ya kwanza SG hakucheza eeh?
 
DonDonald chama lako " Three Lions" limegonga the Mighty Lithuania goli 4. Rooney anadai timu nyingine zijichunge..

Three Lions wanatisha sasa... leo tumetoka kumkimbiza Muitaliano kwao ...

Jumapili majogoo yanakuja kuchukua points zao hapo Emirates "Naona sasa hata nyie mnayaogopa Majogoo" Malafyale

Naona unatamba utakuja Old Traford kuja kuchukua points... Sio FA Cup hiyo mkuu
 
Last edited by a moderator:
Three Lions wanatisha sasa... leo tumetoka kumkimbiza Muitaliano kwao ...

Jumapili majogoo yanakuja kuchukua points zao hapo Emirates "Naona sasa hata nyie mnayaogopa Majogoo" Malafyale

Naona unatamba utakuja Old Traford kuja kuchukua points... Sio FA Cup hiyo mkuu

11 kwa 11 huwezi yafunga Majogoo popote pale duniani!Kila team sasa inayaogopa Majogoo yakiwa kamili

Emirates nakuja ku ku "Monacolize"tena
 
Last edited by a moderator:
11 kwa 11 huwezi yafunga Majogoo popote pale duniani!Kila team sasa inayaogopa Majogoo yakiwa kamili

Emirates nakuja ku ku "Monacolize"tena

Popote maanake nini wewe?! OT mlikuwa 11 mkapigwa 3-0!!! Unatakiwa ushukuru mko 10 Van Gaal akaweka heshima mechi iishe kwa respectable scoreline! Ingekuwa Fergie anaejua upinzani wetu angewaambia vijana 'keep pushing' mngekula 8-1 Kama wenzenu wale wengine!
 
Ndugu zangu wapiga mishale nawatakia soka njema Jumamosi!Hamna haja ya kukimbiana matokeo yakiwa siyo mazuri

11 Majogoo na 11 warusha Jambia hawanifungi popote pale rubaman BAK Wacha1 DonDonald
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu wapiga mishale nawatakia soka njema Jumamosi!Hamna haja ya kukimbiana matokeo yakiwa siyo mazuri

11 Majogoo na 11 warusha Jambia hawanifungi popote pale rubaman BAK Wacha1



Umeanza tambo zako mkuu....nisije sikia nakwenda Ikirwiwi shambani kwangu sitaki tena kutizama mpira.
BAK njoo bhana umtulize huyu kaka Yake everlenk
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Umeanza tambo zako mkuu....nisije sikia nakwenda Ikirwiwi shambani kwangu sitaki tena kutizama mpira.
BAK njoo bhana umtulize huyu kaka Yake everlenk

Mkuu nimerudi Dar leo kwa mapumziko ya pasaka,siendi Ikwiriri hadi pasaka ipite

Majogoo yatawika Emirates
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nimerudi Dar leo kwa mapumziko ya pasaka,siendi Ikwiriri hadi pasaka ipite

Majogoo yatawika Emirates



Poa mkuu....

Emirates hutoki mkuu....kiwango na uwezo wa BR ni mdogo sn.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom