Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hilo nalijua lakini huwezi kudownplay contribution yake msimu huu hasa ukitilia maanani yeye ndiye aliyefunga magoli mengi kuliko mchezaji mwingine yeyote wa Chelsea. Pamoja na hayo hata akiwepo lazima tuwapige tundu tu.

Mkuu Chelsea hatutegemei mtu mmoja tu ndio awe anafunga! Nafikiri hii itakua furaha kwenu! Lkn kwetu ata Ivanovic atawafunga!

Nimeshaweka kambi humu BAK sasa.
 
Hilo nalijua lakini huwezi kudownplay contribution yake msimu huu hasa ukitilia maanani yeye ndiye aliyefunga magoli mengi kuliko mchezaji mwingine yeyote wa Chelsea. Pamoja na hayo hata akiwepo lazima tuwapige tundu tu.

Na ata kwa timu gani uliyo nayo rafiki yangu BAK? Kwa mid zipi mkuu BAK ulizo nazo? Na striker yupi wa kutusumbua sisi Chelsea?
BAK ivi unajua kwa sasa timu ya Chelsea yote kwa ujumla ndio vita imeanza? Stoke uliwaona Jana walivopigiwa mpira? Sasa utakuja kuona tena QPR atakavopigiwa mpira!

Arsenal mtakuja kujuta siku hiyo tukija hapo!
 
Last edited by a moderator:
Kwa mpira upi mliocheza jana? Nimeangalia mechi yote sikuona mpira wa kutisha na kama si makosa ya kipa basi ingekuwa ni sare ya 1-1 na mliponea chupu chupu tu kwani SC walipoteza nafasi ambazo wangeweza kuufanya mchezo uishe 2-2. Haya Mkuu Ntuzu mimi naangalia basketball sasa OKC na Houston.

Na ata kwa timu gani uliyo nayo rafiki yangu BAK? Kwa mid zipi mkuu BAK ulizo nazo? Na striker yupi wa kutusumbua sisi Chelsea?
BAK ivi unajua kwa sasa timu ya Chelsea yote kwa ujumla ndio vita imeanza? Stoke uliwaona Jana walivopigiwa mpira? Sasa utakuja kuona tena QPR atakavopigiwa mpira!

Arsenal mtakuja kujuta siku hiyo tukija hapo!
 
Last edited by a moderator:
Kwa mpira upi mliocheza jana? Nimeangalia mechi yote sikuona mpira wa kutisha na kama si makosa ya kipa basi ingekuwa ni sare ya 1-1 na mliponea chupu chupu tu kwani SC walipoteza nafasi ambazo wangeweza kuufanya mchezo uishe 2-2.

Ata sisi km sio makosa ya kipa ingekua moja bila!

Sasa mkuu unataka kupingana na stats?
Walichotuzidi stoke Jana ni fouls na yellow cards tu lkn vingine vyote tuliwashinda
 
Chacha picha za Chelsick huku zinatafuta nini kama sio u-mbeya? ..... ....... BAK wachana na hako ka-small club no dignity no class zaidi ni Umafioso tu.

BTW

2751A62300000578-0-image-a-3_1428311598106.jpg


The Argentine wonderkid has been dubbed the next good player
and would stay at Velez on loan
is just about to become a Gunner

274A4F6400000578-3027297-image-a-37_1428317115488.jpg


Hatuna deni la uwanja kazi iliyobaki ni kuwafunda vijana pale colney

2747CB5100000578-3027297-image-a-38_1428317121256.jpg

Prof. katulia karata zote kazificha.


BTW tangu mwaka mpya hatujafungwa more than 2 goals kwenye PL, tangu mechi ya Spuds wachezaji wengi wamekuwa kwenyew top form na ushindi hadi hivi sasa kwenye kila kitimu kinachonusa vijana wa Emirates, nafahamu #Team Mburukenge inawauma lakini ndio hivyo tena #COYG
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Wacha1 na wengine wote kheri ya Pasaka!

Arsenal is on fire now.

Brendan Rodgers alikuwa akilishangaa bench la Arsenal jumamosi akiwaona Theo Walcott, Danny Welbeck, Kieran Gibbs, Gabriel na Thomas Rosicky wakiwa wanasubiri kuingia kama wangehitajika.

Mkuu Wacha1, pamoja na huyo dogo Maxi Romelo ametulia na ana mategemeo makubwa mbele yake. mazungumzo kati ya Arsenal na Klabu yake ya Velez Sarsfield yapo kwenye hatua za juu kabisa.

Velves wanataka kama paundi milioni 4.4 hivi halafu Arsenal watamwacha hapo acheze kama misimu miwili hivi ndio aje Emirates.

Halafu kuna Yohan Kabaye ambae yupo PSG na tokea aende kule kutoka Newcastle amestruggle kweli kucheza kwenye first 11.

Amechezea timu hiyo mechi 19 na 9 kati ya hizo alitokea bench. Wenger anamhitaji kutokana na wachezaji Mathieu Flamini, Mikael Arteta na Abu Diaby kuwa na mazungumzo ya ama kumaliza mikataba yao au kuongeza muda mfupi tu, Kabaye mwenye miaka 29 ataweza kuleta uzoefu kwenye sehemu ya kiungo wa kati.

Halafu huko nyuma niliwahi kumuongelea mshambuliaji wa timu ya Palemo Paul Dybala kwamba Arsenal walikuwa wakimhitaji. Mzee Usmanov nae amejitosa kwenye mazungumzo ya kuhakikisha mchezaji huyo anasajiliwa na Arsenal.

Dybala anatakiwa pia na Man city, Chelsea na Man Utd lakini lazima kuwe na upperhand kutoka kwenye timu yenye akaunti ilotuna ya AFC, na atagharimu kama 28m paundi ambazo kwa sasa kwa Arsenal hizo ni sehemu ya disposable income walonayo.

COYG!!!
 
Dybala anatakiwa pia na Man city, Chelsea na Man Utd lakini lazima kuwe na upperhand kutoka kwenye timu yenye akaunti ilotuna ya AFC, na atagharimu kama 28m paundi ambazo kwa sasa kwa Arsenal hizo ni sehemu ya disposable income walonayo!!!

Chifu, mimi siyo mchumi, ila naomba unielimishe hapa.

Man United ina utajiri kuliko Arsenal. In fact, ni klabu tajiri ya 3 duniani kwa vilabu vya soka. Na mwakani itaanza kufahudu a 75M Quid kit deal na Adidas (a world record breaker).

Sasa, kwa maelezo yako unaonyesha kuwa Arsenal wana purchasing powers kuliko United ama?

Akaunti ya Arsenal imetuna kuliko ya United?!

Nielemishe chifu.
 
Manchester City ndo hivyo tena, hadi sasa wameshapigwa 2 mtungi.Nafasi ya pili itakwenda kati ya Arsenal (the favorite ) na wenyeji wa zamani wa mtaa wa 7. Naweza kudiriki kusema itakwenda kwetu sababu United watapoteza points in near future, najua #mburukenge mtapinga
 
Chifu, mimi siyo mchumi, ila naomba unielimishe hapa.

Man United ina utajiri kuliko Arsenal. In fact, ni klabu tajiri ya 3 duniani kwa vilabu vya soka. Na mwakani itaanza kufahudu a 75M Quid kit deal na Adidas (a world record breaker).

Sasa, kwa maelezo yako unaonyesha kuwa Arsenal wana purchasing powers kuliko United ama?

Akaunti ya Arsenal imetuna kuliko ya United?!

Nielemishe chifu.

Mkuu usije ukawa ulikuwa umewaza labda nimekimbia, la hasha nilikuwa nashughulikia mambo yangu ya ujasiri mali pamoja na kutfuta few facts kuhusu hizi timu mbili.

Hapana simaanishi kwamba kuna tofauti ya kutuna kwa akaunti kati ya timu hizi ila ni kiasi gani cha deni kinaweza kuathiri matumizi ya kwaida kama kununua wachezaji.

Pia ni kweli Man Utd ni klabu tajiri ya tatu duniani ni hiyo ni kutokana na jina lake na kwamba hiyo Corporation ni Asset yenye thamani kubwa.

Arsenal nao wana deal la paundi milioni 300 kutokana na ufadhili wa Puma ambazo wanaweza kumaliza kabisa matatizo madogomadogo.

Haya tuendelee.

Deni la uwanja ambalo Arsenal ilikopa benki ili kujenga uwanja likikuwa kwenye paundi milioni 300 hivi.

Niliposema Arsenal wana "disposable income" ni kwamba wana uwezo wa kutumia pesa ambayo iko kwenye "cash reserve" pesa ambayo imetokana na mapato makubwa ambayo ni jumla ya paundi milioni 298.7.

Katika hii milioni 298.7 kuna pesa inayotokana na mapato ya uwanjani milioni 100.2 kwa kila mechi na uwanja unapojaa yaani watu 60,000 na ushei hivi, pesa inayotokana na matangazo kwenye telly paundi milioni 120.8 na milioni 77.7 zinatokana na mauzo ya jezi na mambo mengine au tunaita "commercial revenue".

Arsenal inalipa mishahara jumla ya paundi milioni 166.4 ambayo ni asilimia 66 ya mapato yake.

Kwa hio mapato mazuri yanaziba deni kiasi cha kuweza kusajili wachezaji kama Mesut Ozil (42 milioni) na Alexis Sanchez (35 milioni)

Man Utd wana deni kiasi cha paundi milioni 342 ambazo familia ya Glazer ilikopa kwenye mabenki kwa niaba ya Man Utd yaani walikopa kwa kutumia Man utd kama Asset yao kujikinga na deni.

Mapato yote ya Red Devils ni jumla ya mlioni 433.1 , kila mechi moja inaingiza milioni 108.1, deals za telly ni 135.7 na commercial revenue ambayo ndio njia kuu ya mapato ni paundi milioni 189.3

Katika mapato hayo unatoa mishahara milioni 215 ambazo ni asilimia 50 ya hayo mapato na kutokana na kuwa na kiasi kikubwa cha mapato timu hii bado inaweza kusajili wachezaji kama Angel Di Maria ambae aligharimu paundi milioni 59.7.

Isitoshe Man Utd wanalipa mishahara mikubwa kwa Wayne Rooney na Robin Van Persie ambayo ni zaidi ya paundi milioni 250,000 kwa wiki.

Isitoshe wakati wa kiangazi mwaka jana walikwenda tena benki kuongeza deni kwa kuchukua paundi milioni 150 wazitumie kwenye usajili wa wachezaji unaowaona leo.

Arsenal waliandika tu hundi kwa Mesut Ozil na Alexis Sanchez wasajiliwe, kwasababu wana "disposable income".

Kwahio "facts" ni kwamba Arsenal wana mapato mazuri yanayoziba madeni na kuweza kulimaliza mapema na pia kuweza kushindana kwenye usajili wa wachezaji, wakati Man Utd bado wana deni kubwa ( kumbuka akina Glazer wanaweza kusepa zao na kuachia Man Utd iuzwe kufidia madeni) na pia wanatumia asilimia 50 ya mapato yao kulipa mishahara.

Hizi Data nimezipata kutoka kwenye website ya Premier League.
 
Mkuu usije ukawa ulikuwa umewaza labda nimekimbia, la hasha nilikuwa nashughulikia mambo yangu ya ujasiri mali pamoja na kutfuta few facts kuhusu hizi timu mbili.

Hapana simaanishi kwamba kuna tofauti ya kutuna kwa akaunti kati ya timu hizi ila ni kiasi gani cha deni kinaweza kuathiri matumizi ya kwaida kama kununua wachezaji.

Pia ni kweli Man Utd ni klabu tajiri ya tatu duniani ni hiyo ni kutokana na jina lake na kwamba hiyo Corporation ni Asset yenye thamani kubwa.

Arsenal nao wana deal la paundi milioni 300 kutokana na ufadhili wa Puma ambazo wanaweza kumaliza kabisa matatizo madogomadogo.

Haya tuendelee.

Deni la uwanja ambalo Arsenal ilikopa benki ili kujenga uwanja likikuwa kwenye paundi milioni 300 hivi.

Niliposema Arsenal wana "disposable income" ni kwamba wana uwezo wa kutumia pesa ambayo iko kwenye "cash reserve" pesa ambayo imetokana na mapato makubwa ambayo ni jumla ya paundi milioni 298.7.

Katika hii milioni 298.7 kuna pesa inayotokana na mapato ya uwanjani milioni 100.2 kwa kila mechi na uwanja unapojaa yaani watu 60,000 na ushei hivi, pesa inayotokana na matangazo kwenye telly paundi milioni 120.8 na milioni 77.7 zinatokana na mauzo ya jezi na mambo mengine au tunaita "commercial revenue".

Arsenal inalipa mishahara jumla ya paundi milioni 166.4 ambayo ni asilimia 66 ya mapato yake.

Kwa hio mapato mazuri yanaziba deni kiasi cha kuweza kusajili wachezaji kama Mesut Ozil (42 milioni) na Alexis Sanchez (35 milioni)

Man Utd wana deni kiasi cha paundi milioni 342 ambazo familia ya Glazer ilikopa kwenye mabenki kwa niaba ya Man Utd yaani walikopa kwa kutumia Man utd kama Asset yao kujikinga na deni.

Mapato yote ya Red Devils ni jumla ya mlioni 433.1 , kila mechi moja inaingiza milioni 108.1, deals za telly ni 135.7 na commercial revenue ambayo ndio njia kuu ya mapato ni paundi milioni 189.3

Katika mapato hayo unatoa mishahara milioni 215 ambazo ni asilimia 50 ya hayo mapato na kutokana na kuwa na kiasi kikubwa cha mapato timu hii bado inaweza kusajili wachezaji kama Angel Di Maria ambae aligharimu paundi milioni 59.7.

Isitoshe Man Utd wanalipa mishahara mikubwa kwa Wayne Rooney na Robin Van Persie ambayo ni zaidi ya paundi milioni 250,000 kwa wiki.

Isitoshe wakati wa kiangazi mwaka jana walikwenda tena benki kuongeza deni kwa kuchukua paundi milioni 150 wazitumie kwenye usajili wa wachezaji unaowaona leo.

Arsenal waliandika tu hundi kwa Mesut Ozil na Alexis Sanchez wasajiliwe, kwasababu wana "disposable income".

Kwahio "facts" ni kwamba Arsenal wana mapato mazuri yanayoziba madeni na kuweza kulimaliza mapema na pia kuweza kushindana kwenye usajili wa wachezaji, wakati Man Utd bado wana deni kubwa ( kumbuka akina Glazer wanaweza kusepa zao na kuachia Man Utd iuzwe kufidia madeni) na pia wanatumia asilimia 50 ya mapato yao kulipa mishahara.

Hizi Data nimezipata kutoka kwenye website ya Premier League.

Asante chifu kwa majibu ya kina.

Ila si umesikia United itampa tena LvG fungu la kutosha this summer?

Inamaanisha kuwa pamoja na hayo maelezo (na suala la madeni), United bado yaweza kuingia kwenye soko la usajili bila shida, hata kwa kukopa tena. Kwani 'corporation' ambayo ni asset bado ina thamani kubwa ya kukopesheka. Hivyo, hakuizuii United kupata 28M Quid au zaidi kushindana na Arsenal yenye kuandika tu 'hundi'.
 
Manchester City ndo hivyo tena, hadi sasa wameshapigwa 2 mtungi.Nafasi ya pili itakwenda kati ya Arsenal (the favorite ) na wenyeji wa zamani wa mtaa wa 7. Naweza kudiriki kusema itakwenda kwetu sababu United watapoteza points in near future, najua #mburukenge mtapinga[Utasubir

Kupoteza siye Utasubiri sana mtani......
 
Asante chifu kwa majibu ya kina.

Ila si umesikia United itampa tena LvG fungu la kutosha this summer?

Inamaanisha kuwa pamoja na hayo maelezo (na suala la madeni), United bado yaweza kuingia kwenye soko la usajili bila shida, hata kwa kukopa tena. Kwani 'corporation' ambayo ni asset bado ina thamani kubwa ya kukopesheka. Hivyo, hakuizuii United kupata 28M Quid au zaidi kushindana na Arsenal yenye kuandika tu 'hundi'.

Ndio maana wapenzi wale hasa wa Man Utd ambao bado wanakataa uwepo wa familia ya Glazer wana wasiwasi na mtindo huo wa ukopaji maana timu inazidi kukopa against its Assets na siku wakisepa Man itakuwa kama Portsmouth au Leeds zilizoanguka mpaka leo.

Kwahio basi Assets zote hizo zitauzwa kwani mpaka sasa ni kweli zinaleta Cash Injection(sio mapato) kupitia loans lakini hapohapo zinaonekana ni Liability kwa tukuio lolote la kushtukiza.
 
Back
Top Bottom