pia naona bayern munich wameshuka kiwango,barcelona na real madrid unaona,sasa tuseme PSG atachukua?
RM wachezaji wao wamerud, Barca wako vizuri mno kwa sasa, Bayern Munich hawatabiriki, PSG nao itategemea hatua inayofuata anakutana na nani.
Kwa mtazamo wangu bingwa ni kati ya hizi timu nne.
kwangu bingwa ni ATM
Wapenzi wa Arsenal lazima tukubali jambo moja,uwezo wa Mzee Wenger sasa umefikia kikomo! Hata mafanikio aliyoyapata huko nyuma ni kutokana na timu iliyojengwa na kocha aliyemtangulia yeye alifanya mabadiliko machache sana kwa kumuongeza Henry na Viera! Kupata mafanikio kama ya Sir Alex atahitaji miaka 40 kuijenga timu!
kifo ni kifo tu....haijalishi kiume...wala kikike ....
Both , Both... huna jipya. Unajifariji kwa kukosa UCL msimu uliopita. Mwakani mtaikosa vile vile na kubakia kuangalia wengine wakicheza.
Ni ngumu PSG kuchukua ila ukimtoa Barca, ni rahisi PSG kuwafunga timu zingine zilizobaki.
Timu zilizo kwenye form sasa ni Bayern munich na barca. PSG ni underdog wa uhakika anaweza kumfunga yoyote na anaweza kufungwa na Yoyote! Real Madrid wana mgogoro wa ndani unaowatafuna mpaka kocha ameanza kulalamika hadharani. Hivyo kwa mtazamo wanao bidhaa ni Barca au Bayern.
It is all about soccer..tujipange kwamsimu ujao wana gunners