Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Wakati monaco tumeishika mbona mlikuwa kimya?Tupongezeni maana tumejitahidi na acheni roho za chuki
Hahaha haya hongereni kwa kuwafunga monaco,then what?
Wakati monaco tumeishika mbona mlikuwa kimya?Tupongezeni maana tumejitahidi na acheni roho za chuki
Mkuu Ntuzu bahati kweli haikua yetu, nafasi nyingi tumetengeneza ila ndo ivo mmoja aende mwengine abaki
Pole ndugu yangu,bwahahahaha
Poleni watani
Dah labda ndoto tu nasubiri niamke
Umepotea sana weye dah! Sijui ndio penzi limezidi kuwa moto moto au maraha ya Burdeos. Ujitahidi kuwepo J'pili kwenye mchapo na L'pool. Wasalimie wakazi wa Burdeos.
Nipo Mkuu bukheri wa afya bado natafakari matokeo ya jana ambayo tulikuwa na kila uwezo wa kufunga hata goli nne, ingekuwa ni furaha iliyoje. Nasubiri mchapo wa Barcelona na MAN C, nitafurahi kama BARCA watakuwa knocked out of the competition ila si kazi rahisi. Hii game ya leo sitakuwa nervous kama ile ya jana.
Hahahahahaha lol! Nimeona picha mtandaoni ya Arsenal nimecheka sana lol! Hahahahaha watu watundu sana aisee nilidhani imeshawekwa hapa kumbe haipo naomba tu #Wasagasumu na #Mburukenge wa humu ndani wasiione. Usiniulize inahusu nini wala siiweki hapa.
Man City anachapwa kama mtoto hapo!Barca aliisha fuzu mechi ya kwanza
Ila kuna haja ya kumuangalia Sanchez wenu kwa jicho la pili,jana kawaangusha sana