Kuna mtu kaandika facebook eti Arsenal wamekufa kiume,wamekufa wakipigana na chupuchupu wasonge mbele
Ehehehehehehehe BAK pole sana mpwa,jifute machozi ujipange upya ndiyo soka ilivyo
Tena yahifadhi vizuri
Sorry maam ....
Hebu vaa miwani ndugu yangu mbona wapo jamani!!!
Kalale tu mpenzi hapa utaendelea kupata stress zaidi,hapa kigodoro ndo kishafunguliwa wasaga sumu wanajinafasi.......
Mambo hayakukubali leo. Ndio mpira ulivyo. Nashangaa kuna watu wanashangilia wakati walikosa kuona UCL ikichezwa nyumbani kwao, wengine Malafyale, waliishia kudondoshwa Europa league afu wakatolewa baada ya kutia pua tu. Hata kama tunaishia last 16 kila mwaka ni poa, kuna siku utashangaa tunapenya hata nyie mliishia wa mwisho katika group miaka michache iliyopita.Tusubiri ligi iishe tuone mtakavyoishia nje ya UCL kwa mara ya pili mfululizo ndio mtakapotia adabu Nzi DonDonald, Belo #Mburukenge.
I hope you mean it....! muone kwanza!
Hahahahaha huyo nilimnyima mke ndio maana anamalizia hasira kwangu.Ila niko nakisubiria kigodoro😀😀
Every single word....you had a great game Leo...Hapo ndipo tunapoona ukweli kuwa kwa mpira baada ya training and everything kuna kitu kinaitwa bahati...timu zetu za kibongo huwa tunaifuata kwa waganga na bado huwa hatuipati
tumeoga mjini hatujaenda mweehh