everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Jaman hata huruma hamna?
Mnawanyeshea mvua ya maneno tu wakati wanamachungu!!!!
Yaani watu wana roho ngumu humu acha tu......huwajui hata kuwa tuko msibani........
Jaman hata huruma hamna?
Mnawanyeshea mvua ya maneno tu wakati wanamachungu!!!!
Hawa AM na Leverskuen wako 1-1 wameongezewa muda wa ziada ni dakika ya 117 bado 1-1 kuna uwezekano wa matuta kwenye hii game.
Hawa AM na Leverskuen wako 1-1 wameongezewa muda wa ziada ni dakika ya 117 bado 1-1 kuna uwezekano wa matuta kwenye hii game.
Yaani watu wana roho ngumu humu acha tu......huwajui hata kuwa tuko msibani........
Hawa AM na Leverskuen wako 1-1 wameongezewa muda wa ziada ni dakika ya 117 bado 1-1 kuna uwezekano wa matuta kwenye hii game.
Watu hawajui kuchukuliana mizigo. Teh teh teh teh teh
Ila twende mbele turudi nyuma hawa jamaa wangeshinda tungekomaje
Hii ndo CL hakuna mnyonge
Yaani...at least kesho ntakuwa na sababu ya kuwahi kijiweni with a vere vere big smile.
ATM msimu huu wana kiwango kibovu sn tofauti na msimu uliopita....
Hahahahahaaaaaaa
Nyie watu wabayaaaa
ATM penalty 3
Bayer levercusen 2
ATM kapita kwa penalty 3 kwa 2
nimefurahi ATM wamepita,kwa spain ndo nawashabikiaWahaao!!! Nimefurahi kukuona hapa mpenzi nilijua ndo kamba tayari unaitafuta maana ulitoweka ghafla.......
Mi napenda AM wapite hizi timu za ujerumani zilizoingia zatosha.....
mkuu una dalili za taarabu,nimeshakusoma huku,acha taarabu kuwa mwanaumeBayer ndo wametoka kiume sasa, sio hawa Arsenal.
nimefurahi ATM wamepita,kwa spain ndo nawashabikia
mkuu una dalili za taarabu,nimeshakusoma huku,acha taarabu kuwa mwanaume
nawakubali i wish wachukue kombeHata nami nimefurahi sana