Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
walishinda nyumbani,wakabana ugenini wakafungwa,arsenal walifungwa 3 wakastruggle ugeneni wakapata mawili,usiwe na chuki na EPLvyovyote vile utakavyoongea ila Bayer kajitahidi sana kwa Atletico, sio kama huyu Arsenal.