Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
Ni zaidi ya mbili bado tuna magoli matatu its a matter of time lets wait and see
Ngoja niyahifadhi haya maneno yatanisaidia mbele ya safari
Ni zaidi ya mbili bado tuna magoli matatu its a matter of time lets wait and see
Sidhani kama tunaweza kuwafunga hawa jamaa goli 3 au 4 alafu na wao wasipate hata goli moja...ndio maana nimesema tunaweza kuwafunga ila hatuwezi kusonga mbele kwenye mashindano haya.
Hiyo ndio duwa na maombi ya mashabiki wote wa Arsenal...ila akili yangu inakataa eti tuwafunge Monaco goli 3 au 4 bila alafu wao wasipate hata goli moja!!? Nasema Noooo
Yani leo natetemeka balaaa hata sijielewi......
It is not easy at all especially taking consideration that we're playing on their turf, but it can be done. Tukifunga goli la pili kabla ya dakika 60 hapo ndio nitaanza kuwa nervous kupita kiasi. Goli hili litawapa wachezaji motivation kubwa sana ya kuongeza goli moja au hata zaidi ili kujihakikishia kusonga mbele.
We just have to be more careful, speeding up the game might cost us coz Monaco are very dangerous on counters....!
Replay inaonesha alexis amepandisha boot moja juu ya ingine kitu iliyofanya ionekane kana amelambwa mtama lakini refa ameona sahihi kabisa. Ni yellow sahihi.I know we're playing well but we need to speed up the game in order to create more opportunities. That was a clear penalty.
Wapi Sizinga Mbu Ulimakafu Richard Rockcity native Wandugu Masanja rubaman Ng'wamapalala Piere. Fm na Eli79 muda ndio huu wakuu naona mmelala au mmeshatoka?
Sidhani kama tunaweza kuwafunga hawa jamaa goli 3 au 4 alafu na wao wasipate hata goli moja...ndio maana nimesema tunaweza kuwafunga ila hatuwezi kusonga mbele kwenye mashindano haya.
Mwenzangu leo tuna hadi mashabiki wa Chelsea na Man U wanatuombea na kutushangilia....nashindwa hata kufurahi,mimi mwenyewe najisemea tutafunga hayo mawili halafu watafunga moja na tumaliza wa nne
Ngoja niyahifadhi haya maneno yatanisaidia mbele ya safari
Ngoja nikupepeee uuu uuu uuu!!!
Mwenzangu leo tuna hadi mashabiki wa Chelsea na Man U wanatuombea na kutushangilia....nashindwa hata kufurahi,mimi mwenyewe najisemea tutafunga hayo mawili halafu watafunga moja na tumaliza wa nne
Arsenal acheni ndoto nyevu...you will win but not qualify...
Arsenal acheni ndoto nyevu...you will win but not qualify...
Sorry to dissapoint you ma'am...Leo hamtoki