Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1426615631153_lc_galleryImage_Arsenal_fas_dressed_in_fu.JPG



Arsenal fas dressed in full kit and wigs walk along
the marina near the Stade Louis II




  • [*=center]
    • 1426615121097_lc_galleryImage_A_sign_on_the_doors_of_St.JPG

Asiye na mwana aeleke jiwe ...
.. #COYG
 
KWA NINI ARSENAL ATAMFUNGA MONACO;
1; ARSENAL WAKO ONFIRE. arsenal hajapoteza mechi wala kutoa sare tangu 25 february 2015. ameshinda mechi zake zote nne alizocheza ikiwemo ya Man Utd ya kombe la FA.

2; Giroud hawezi kurudia makosa yale yale. 14 goals and 17 assist kwa striker hatari Oliver Giroud katika mashindano yote. Naamini kijana atahitaji kuonyesha kwamba game iliyopita ilikuwa bahati mbaya hivyo lazima atupie hiyo jumanne.

3. kiungo hatari ARON RAMSEY amerejea kutoka majeruhi na kiwango bora kabisa. Jambo hili litapelekea arsenal kukaba kwa nguvu na kufanya mashambulizi ya haraka mnoooo, jambo litalopelekea kupata ushindi mapema na kumaliza kidedea endapo mzee ataamua kumuamini Ramsey. hii ni kutokana itabidi amsogeze Cazorla juu kidogo na Ramsey kuchukua majukumu aliyokuwa anayafanya fundi Cazorla.

4. Record ya ARSENAL UCL; Mechi nyingi alizopoteza mzee first leg huwa apotezi second leg. rejea bayern Munich na Dortmund.
Kila la kheri goons.

ramsey ataanza ila hii mechi tutafungwa endapo ozil atacheza 10 halafu carzol pembeni ila carzola akicheza 10 ozil acheze pemben ama aanze bench tutashinda ushind mnono
 
Hii game mtapata ushindi lakini si kusonga mbele kwenda robo fainali. Monaco walipata ushindi mnono mno pale Emirate. Ushindi wa zaidi ya goli 3 ni ngumu sana.
 
Mashabiki na wapenzi wenzangu wa Arsenal' kwa pamoja tukubali kuwa teyari tulishatolewa kwenye mashindano haya.
Hapa leo tumekuja kukamilisha ratiba yetu tu. Ni vigumu sana eti tuwafunge Monaco goli 3 au 4 alafu wao wasitufunge hata goli moja...nasema haiwezekani hata siku moja.

Tunaweza kuwafunga, ila hatuwezi kupita kwenye mashindano haya...kuwafunga ni kitu kingine na kupita kwenye mashindano haya ni kitu kingine. Ila kwa vile tunaipenda club yetu hatuna budi kuangalia game hii ila hatuendi kokote.
 
Duh! Ramsey bench? Ila naona ozil angeanza bench na cazorla acheze 10 na ramsey aanze, ila poa tutashinda kwa vyovyote vile
 
Arsenal wanatakiwa kuimaliza game mapema. Najua monaco watahitaji kupata bao mapema ili kuwavunja nguvu arsenal, gunners watumie mwanya huo kuimaliza game.
Twende kazi
 
Back
Top Bottom