Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wapiga mishale is out
Menzako ikinyolewa ............. maji.
Kokoiko kokoiko is out.:nod::nod::smile-big:

Majogoo yamechinjwa huko Besiktas. Imekufikia habari hiyo? Unatafutwa kule jukwaani kuna msiba.
 
Tunaweza kuya overturn haya matokeo last season tulimpiga bayern 3_0 nyumbani kwake
 
tunaweza tukarudisha hizi goli ufaransa endapo haya yatafanyika
1.kumuanzisha wojciech szcency..kijana ameshapata fundisho la kutosha na naamini akirudishwa hivi sasa atakuwa more strong golini
2..kumweka benchi merteseker.hi ni mechi ambayo tutaenda kufunguka sana hivyo inabidi tuwe sharp pale ambapo tunapoteza mpira kurudi kukaba kwakuwa naimani approach ya monaco itakuwa ile ile so ni wakati wa gabriel paulista kuanza pamoja na koscienly
3.chamberlain au wacot mmoja aanze...inabidi tuwe sharp tunaposhambulia kwenye hi mechi tofauti na first leg so inabid mmoja kati ya hawa sharp wingers aanze na kutuongezea width badala ya welbeck
4.rosicky aanze badala ya ozil
.nakumbuka kwenye zilizopita za ucl tulizokaribia ku overturn second leg shughuli ya huyu mzee ni noma..refer..Arsenal 3-0 ac milan,arsenal 2-0 bayern.uwezo wake wa kupandisha timu kwa nguvu utasaidia akishirikiana na cazorla,sanchez,walcot/chambo
5.giroud abadilishe viatu
asivae viatu alivyovaa kwenye first leg as tunajua kitu gani kilitokea alipiga mashuti 6 yote off target na nafas 2 yeye na wavu akazingua...
Mungu ibariki Arsenal
 
ericford;

Asante kiongozi...

Lakini mbali na hayo, wanahitaji maandalizi ya kisaikolojia...! Mzee Wenger hupenda kusema "mental strength"...
 
Last edited by a moderator:
Asante kiongozi...

Lakini mbali na hayo, wanahitaji maandalizi ya kisaikolojia...! Mzee Wenger hupenda kusema "mental strength"...

ya na ni moja ya vitu ambavyo mzee wenger anaviweza sana..kuwarudisha wachezaj wake ktk hali ya kawaida baada ya dissapointment result ni fundi ktk hili ni imani yetu pia tutafanikisha ktk hili
 
Hio ilikuwa makundi mkuu QF hakuna timu ishawah fanya huo muujiza.

mara nyingine huwa najiuliza kwanini mtu anatoa hitimisho kama hili bila kufanya kautafiti kidogo??!! kuna mwaka fulani nafikiri ni 2004[miaka 11 iliopita kama una miaka 25 sasa hivi ina maana ulikuwa na 14yrs] ac milan walishinda first leg 4-1 vs deportivo la coruna, carlo anchelotti akaonyesha alama ya kuchinja!!!! kilichotokea mechi ya marudiano hakuna alieamini ac milan walipigwa 4-0 na deportivo wakapita kwa aggregate 5-4......kwahio its possible na ishawahi kutokea.
 
mara nyingine huwa najiuliza kwanini mtu anatoa hitimisho kama hili bila kufanya kautafiti kidogo??!! kuna mwaka fulani nafikiri ni 2004[miaka 11 iliopita kama una miaka 25 sasa hivi ina maana ulikuwa na 14yrs] ac milan walishinda first leg 4-1 vs deportivo la coruna, carlo anchelotti akaonyesha alama ya kuchinja!!!! kilichotokea mechi ya marudiano hakuna alieamini ac milan walipigwa 4-0 na deportivo wakapita kwa aggregate 5-4......kwahio its possible na ishawahi kutokea.

Nadhani labda kapitiwa...maana mimi ndiye niliyeweka hiyo post kuhusu rekodi ya Ajax mwaka 1969 ya kupita hatua ya mtoano licha ya kuwa na 2 goals deficit katika mechi ya kwanza.

Rekodi hii hadi sasa haijavunjwa...yaani kwa timu iliyopigwa goli 2+ mechi ya kwanza, hakuna iliyowahi kusonga mbele katika hatua hii ya mtoano.,
 
Nadhani labda kapitiwa...maana mimi ndiye niliyeweka hiyo post kuhusu rekodi ya Ajax mwaka 1969 ya kupita hatua ya mtoano licha ya kuwa na 2 goals deficit katika mechi ya kwanza.

Rekodi hii hadi sasa haijavunjwa...yaani kwa timu iliyopigwa goli 2+ mechi ya kwanza, hakuna iliyowahi kusonga mbele katika hatua hii ya mtoano.,

Hapana mkuu Nzi, mwishoni mwa miaka ya 80 au katikati kabla ya kusambaratika kwa iliyokuwa Yugoslavia kuna timu yao ikiitwa Red star Belgred ilowahi kufanya vitu vya ajabu sana. Game ya kwanza ilipigwa 3+ na moja ya club ya ufaransa (marseille?) na ilikwenda kushinda 5 ugenini.

Jaribu kuicheki hii club afu utaniambia.

Nipo tayari kukosolewa
 
Last edited by a moderator:
Nadhani labda kapitiwa...maana mimi ndiye niliyeweka hiyo post kuhusu rekodi ya Ajax mwaka 1969 ya kupita hatua ya mtoano licha ya kuwa na 2 goals deficit katika mechi ya kwanza.

Rekodi hii hadi sasa haijavunjwa...yaani kwa timu iliyopigwa goli 2+ mechi ya kwanza, hakuna iliyowahi kusonga mbele katika hatua hii ya mtoano.,

Hapo sijakuelewa vyema.

Ile ya msimu jana ya Chelsea na PSG ni?
 
Nadhani labda kapitiwa...maana mimi ndiye niliyeweka hiyo post kuhusu rekodi ya Ajax mwaka 1969 ya kupita hatua ya mtoano licha ya kuwa na 2 goals deficit katika mechi ya kwanza.

Rekodi hii hadi sasa haijavunjwa...yaani kwa timu iliyopigwa goli 2+ mechi ya kwanza, hakuna iliyowahi kusonga mbele katika hatua hii ya mtoano.,

Mkuu,umesoma nilichoandika? 2004 deportivo la coruna walifungwa 4-1 that's +3 na ac Milan first leg mechi ya marudiano ac Milan alipigwa 4-0! Sasa hio rekodi ya +2 haijavunjwa tu? Last ECL Chelsea walifungwa 3-1 na PSG hio nayo si +2 then marudiano wakashinda 2-0 na kupita.
 
Mkuu,umesoma nilichoandika? 2004 deportivo la coruna walifungwa 4-1 that's +3 na ac Milan first leg mechi ya marudiano ac Milan alipigwa 4-0! Sasa hio rekodi ya +2 haijavunjwa tu? Last ECL Chelsea walifungwa 3-1 na PSG hio nayo si +2 then marudiano wakashinda 2-0 na kupita.

Nadhan chelsea alikuwa darajan. Ile ya mwokoz BA kama skosei
 
Watu mnabisha tu ama mmesoma post yangu ya kwanza kuongelea suala hili?

Nilisema Ajax FC ni timu ya mwisho kushikilia rekodi ya kufuzu hatua ya mtoano baada ya kuwa na 2+ goal deficit katika mechi ya kwanza kwenye uwanja wao wa nyumbani.

Sasa nyiye hiyo mifano yenu inaonyesha timu zilizofungwa ugenini mechi ya kwanza na kuja kushindia nyumbani.

Arsenal kapigwa 2 goals deficit home...sasa anaenda away...ni Ajax FC tu mwaka 1969 ndiyo aliweza kusonga mbele baada ya kuwa na 2 goals deficit kwenye 1st leg home match...
 
Back
Top Bottom