mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Kwa hiyo ktk soka zile nguzo tatu zinapogeuka kipa, deflections na own goals unaziitaje, bahati nzuri au bahati mbaya?Maelezo yako ya kuhusu "mnarudi dk 45 blah blah blah" hayana mashiko. Matokeo yenu ya 99 na Buyern haikuwa bahati ile? mliokota dhahabu kariakoo!
Unachekesha wewe kama ni kuokota dhahabu kariakoo nyie mmeokota mara ngapi? Na kwa nini toka kombe lianze wanaopata hiyo bahati wanajirudia walewale mara nyingi? Ni kweli Arsenal haina bahati miaka yote au kiwango kidogo?