Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watu mnabisha tu ama mmesoma post yangu ya kwanza kuongelea suala hili?

Nilisema Ajax FC ni timu ya mwisho kushikilia rekodi ya kufuzu hatua ya mtoano baada ya kuwa na 2+ goal deficit katika mechi ya kwanza kwenye uwanja wao wa nyumbani.

Sasa nyiye hiyo mifano yenu inaonyesha timu zilizofungwa ugenini mechi ya kwanza na kuja kushindia nyumbani.

Arsenal kapigwa 2 goals deficit home...sasa anaenda away...ni Ajax FC tu mwaka 1969 ndiyo aliweza kusonga mbele baada ya kuwa na 2 goals deficit kwenye 1st leg home match...

Nimekuelewa...+2 goal deficit at home.
 
Chifu, 2+ ina maana goli mbili na zaidi...goli 2 nazo zinahesabika...haina maana 2 goals deficit sijaiongelea...

You are right...sikusoma hio home tie. Mi nilikuwa na refer wingi wa deficit ya magoli tu
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
zp_280115training17_6097.jpg

Vijana walikuwa wakijiandaa kuwakibiri The Toffies.
zp_280115training16_4690.jpg
 
Tutashinda, tutaweka rekodi mpya. Arsenal ni timu inayojulikana kwa kuvunja rekodi. Subiri uone.
 
Zaidi ya 'invincible' nitajie rekodi nyingine ya goons 

Timu ya kwanza toka England kushinda ndani ya Allianz(Bayern Munich home), San Siro (Vs A.C Milan/inter), vs Bernabeu(Real Madrid. Timu ya kwanza kubeba FA Cups nyingi than any other teams. Timu pekee ya top flight England ambayo haijawahi kushuka daraja nk.
 
Timu ya kwanza toka England kushinda ndani ya Allianz(Bayern Munich home), San Siro (Vs A.C Milan/inter), vs Bernabeu(Real Madrid. Timu ya kwanza kubeba FA Cups nyingi than any other teams. Timu pekee ya top flight England ambayo haijawahi kushuka daraja nk.

Timu inayoongoza kuwa na meneja/coach anayetumikia kwa muda mrefu....
 
  • Thanks
Reactions: 999
Aseno dakika hizi tu mmeanza kudefence? Kwa mpira huu, leo mtapigwa mengi? LEO MNAPERFORANCE CHINI YA KIWANGO)

NGASA.
 
Wapiga mishale salama hapa?
Jogoo kawika Anfield,nyie naona bado nightmare ya Monaco ipo kichwani
Good luck guys
 
Arsenal wapo nervous,vijana wanatakiwa watulie wasahau kichapo cha Monaco kwa dakika 90. Kidogo kidogo naona tunawashambulia (dakika 5 zilizopita). Nyuma na midfield bado kuna mushkari kiasi.
 
Back
Top Bottom