Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Defensive unity yetu bado ipo shaky. What the hell, pass gani ile? anapoteza mpira kiurahisi rahisi vile. Come on Gunnerssss
 
Aseno dakika hizi tu mmeanza kudefence? Kwa mpira huu, leo mtapigwa mengi? LEO MNAPERFORANCE CHINI YA KIWANGO)

NGASA.

Mkuu tpaul umepotea wapi?? Ulikua ushajihesabia mtu wa tatu kwenye msimamo...
Teh teh...
 
Last edited by a moderator:
Timu ya kwanza toka England kushinda ndani ya Allianz(Bayern Munich home), San Siro (Vs A.C Milan/inter), vs Bernabeu(Real Madrid. Timu ya kwanza kubeba FA Cups nyingi than any other teams. Timu pekee ya top flight England ambayo haijawahi kushuka daraja nk.

Doh! Kweli Arsenal is a wee club...

Sasa hizo ndizo records za kujivunia mbele ya wanaume?!?

And check your facts re FA Cup titles, as it is tie between Goons and United, both have 11 titles.

Na unavyosema timu pekee ya top flight ambayo haijawahi kushuka daraja una maana? Daraja lipi? Unaongelea EPL? Daraja la Kwanza? Ama?
 
Doh! Kweli Arsenal is a wee club...

Sasa hizo ndizo records za kujivunia mbele ya wanaume?!?

And check your facts re FA Cup titles, as it is tie between Goons and United, both have 11 titles.

Na unavyosema timu pekee ya top flight ambayo haijawahi kushuka daraja una maana? Daraja lipi? Unaongelea EPL? Daraja la Kwanza? Ama?


Sorry! FA cups. Corrections under Wenger tuna FA Cups nyingi tangu EPL ianzishwe. Top Flight means both EPL era na Daraja la kwanza. Kabla ya EPL kuanzishwa, ligi daraja la kwanza ilikuwa top flight. Arsenal haijawahi kushuka daraja in both
 
Sorry! FA cups. Corrections under Wenger tuna FA Cups nyingi tangu EPL ianzishwe. Top Flight means both EPL era na Daraja la kwanza. Kabla ya EPL kuanzishwa, ligi daraja la kwanza ilikuwa top flight. Arsenal haijawahi kushuka daraja in both

Check your facts again...goons walishawahi kuwa relegated...sema ni zamani kiasi kwamba unaona kama hawajawahi kuwa...ukicheki historia, mara ya mwisho kuwa relegated ni msimu wa 1912/13

http://socceralive.blogspot.ch/2012/04/which-football-club-team-has-never-been.html?m=1
 
Hii mechi itaisha draw. Sioni kama tutapata ushindi leo. Wachezaji wapo very nervous hasa tukiwa tunadefend.
 
Ushindi kama kazi Mkuu leo, ila hali bado ni tete hivyo inaweka roho juu.

Hii mechi itaisha draw. Sioni kama tutapata ushindi leo. Wachezaji wapo very nervous hasa tukiwa tunadefend.
 
Si ndiyo ilikuwa 'top flight' kipindi hicho ama? Division One ndiyo ilikuwa 'EPL' kwa wakati huo.

Division one ilianza kushamiri baada ya WW1. Afu Arsenal ilikuwa inaitwa Woolwich itakuwa hiyo ndo iliyoshuka daraja sio baada ya kuhamia North London na kuitwa Arsenal
 
Chambers atatu cost. Everton watasawazisha kama sio kushinda from now
 
Division one ilianza kushamiri baada ya WW1. Afu Arsenal ilikuwa inaitwa Woolwich itakuwa hiyo ndo iliyoshuka daraja sio baada ya kuhamia North London na kuitwa Arsenal

Lakini si ilikuwa ndiyo 'top flight' league kipindi hicho?!? Kubadili jina hukuifanyi kuwa siyo 'Arsenal'. Kama ndivyo kwanini inasemwa Arsenal ilianzishwa mwaka 1886?
 
Arsenal fans on WENGER:

in out in
out out
in \_ in
out out
in out in

😂😂😂😂😂

👆👆👆👆😂😂😂😂
 
Umri ungekuwa unaweza kurudishwa nyuma. Rosicky angestahili umri wake urudishwe nyuma... Great win. Nilikuwa najinye a hapa. Finishing Second spot still possible. J5 zamu ya QPR kukalishwa.
 
Lakini si ilikuwa ndiyo 'top flight' league kipindi hicho?!? Kubadili jina hukuifanyi kuwa siyo 'Arsenal'. Kama ndivyo kwanini inasemwa Arsenal ilianzishwa mwaka 1886?

Actually source uliyotoa sio ya kuaminika sababu ni blog ya mtu, inakuwa bias. Pia kipindi cha mwanzoni ilikuwa ni Football league, labda ndio Arsenal waliyoshuka daraja, I doubt it.
 
Wenger Out? Roberto Martinez for Arsenal... I need a laugh
 
Look who's on the 4th spot. Come On Liverpool take your position and send them back to 7th spot. It's still possible, you know
cc , Mndengereko (Jamaa kabadili jina?),utafiti,Pazi, DonDonald, Nzi, Malafyale, Belo, Mfarisayo, Wacha1,BAK, Mbu
 
Back
Top Bottom