Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

......mie na mashaka mkewe ni shabiki wa Man United jamani, hii hali haikubaliki. :coffee:

hahahahaha.....hamna mdudu mbu......ni hivi

  1. Yuko too relaxed hana presha from above ujue amei transform Arsenal sana huwezi linganisha wakati anakuja Arsenal mwaka 1996 haikuwa hivi
  2. pili ni unsackable maana hakuna wa kumnyooshea kidole katika Entire boadroom....no wonder wanajiuliza what will happen life after he goes
  3. CEO Ivan gazidis alikuwa proposed by Arsene wenger kwa stan Kroenke can you imagine.....Ivan hana kauli mbele ya Arsene
  4. Inasemekana Bould kama Former defender na vice manager ame propose some few names za defenders na DM ila wenger hakuona umuhimu wa kununua....so 6 DEFENDERS for entire season ni SUICIDAL and pathetic

haijawahi kutokea "WENGER OUT'' kuwa so loud and trending in social media kama sasa.....na BVB wakituweka i cannot imagine the pressure on old deluded man......

TACTICAL BANKRUPTCY, TACTICAL UNAWARE....TOO STUBBORN to fill holes in the Squad during transfers.....


he has to pack things and follow Alex ferguson.....au waanze kumbebea BANNERS za wenger OUT pale emirates.....
 
Screen-Shot-2014-03-29-at-8.36.51-PM.png
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Arsène Wenger accused of not learning from his mistakes at Arsenal

• Alisher Usmanov questions Arsenal manager's principles
• Second largest shareholder: every position needs improving
• Match report: Arsenal 1-2 Manchester United
• Arsène Wenger: why didn't manager go out on FA Cup high?

Guardian sport
theguardian.com,
Monday 24 November 2014 13.46 GMT
Alisher-Usmanov-011.jpg

Alisher Usmanov says Arsène Wenger is not learning from his mistakes as Arsenal's poor run continues. Photograph: Sasha Mordovets/Getty Images

Alisher Usmanov, Arsenal's second largest shareholder after Stan Kroenke, has accused Arsène Wenger of failing to learn from his mistakes and claims the club must strengthen every area of the team to compete with Europe's elite.
The Russian billionaire stressed his desire to see Wenger reintroduce success at Arsenal but expressed his concerns that the Frenchman's "principles" could be holding the side back following another defeat at the hands of Manchester United that continued a miserable recent record against the Premier League's strongest sides.
Speaking to CNBC, Usmanov said: "He is one of the greatest coaches, not just of European, but of world football. But we have a Russian proverb which goes: "Even an old lady can have a roof falling on her.
"Everybody makes mistakes. He can make mistakes and I know as you age it is more difficult, more challenging to accept one's mistakes. Does [Wenger] have money or not? There is officially money in the club.
"Arsenal is a dream that sometimes becomes a mirage and sometimes a pain as every dream. [The] potential of the team is there but there is no critical evaluation of mistakes and they need to need to acknowledge them. Because no genius can retain the same level of genius if they do not acknowledge mistakes. It's only when you admit your mistakes that you can get rid of them.
"My opinion – and I tell it openly – we need to strengthen every position to play on the level of such teams in [the] UK as Chelsea and Manchester City, in Europe like Real Madrid, Barcelona, Paris Saint-Germain and other clubs."
The 2-1 defeat to United left Arsenal in eighth place in the Premier League with four wins from 12 matches – their worst start to a season since the 1982-83 – and prompted Wenger to label his side "defensively naive".







 
Arsène Wenger accused of not learning from his mistakes at Arsenal

• Alisher Usmanov questions Arsenal manager's principles
• Second largest shareholder: every position needs improving
• Match report: Arsenal 1-2 Manchester United
• Arsène Wenger: why didn't manager go out on FA Cup high?

Guardian sport
theguardian.com,
Monday 24 November 2014 13.46 GMT
Alisher-Usmanov-011.jpg

Alisher Usmanov says Arsène Wenger is not learning from his mistakes as Arsenal's poor run continues. Photograph: Sasha Mordovets/Getty Images

Alisher Usmanov, Arsenal's second largest shareholder after Stan Kroenke, has accused Arsène Wenger of failing to learn from his mistakes and claims the club must strengthen every area of the team to compete with Europe's elite.
The Russian billionaire stressed his desire to see Wenger reintroduce success at Arsenal but expressed his concerns that the Frenchman's "principles" could be holding the side back following another defeat at the hands of Manchester United that continued a miserable recent record against the Premier League's strongest sides.
Speaking to CNBC, Usmanov said: "He is one of the greatest coaches, not just of European, but of world football. But we have a Russian proverb which goes: "Even an old lady can have a roof falling on her.
"Everybody makes mistakes. He can make mistakes and I know as you age it is more difficult, more challenging to accept one's mistakes. Does [Wenger] have money or not? There is officially money in the club.
"Arsenal is a dream that sometimes becomes a mirage and sometimes a pain as every dream. [The] potential of the team is there but there is no critical evaluation of mistakes and they need to need to acknowledge them. Because no genius can retain the same level of genius if they do not acknowledge mistakes. It's only when you admit your mistakes that you can get rid of them.
"My opinion – and I tell it openly – we need to strengthen every position to play on the level of such teams in [the] UK as Chelsea and Manchester City, in Europe like Real Madrid, Barcelona, Paris Saint-Germain and other clubs."
The 2-1 defeat to United left Arsenal in eighth place in the Premier League with four wins from 12 matches – their worst start to a season since the 1982-83 – and prompted Wenger to label his side "defensively naive".








Pamoja na kuwa na wachezaji wa hovyo tatizo kubwa ni Mbinu mzee hana mbinu mbadala kabisa mfumo wake ni huohuo kwenye mechi zote hata mtoto mdogo anakua anajua kabisa kikosi kitakachoanza nani atatoka na nani ataingia na mfumo wa uchezaji ukoje.

Lazima afike mahali apange timu kulingana na adui anayekutana naye inashangaza sana kuona anafungwa magoli ya aina ileile na Man Utd & Chelsea kwa miaka mingi sasa. Nilikua nawatania watu kua lazima tutawafunga kwa goli la counter attack na kweli ikawa hivyo goli la combination ya Di Maria na Rooney, ni copy and paste ya goli lililowahi kufungwa kwa combination ya Rooney na Ronaldo
 
Tatizo kubwa ni kuwa wenger hawezi kutoka labda mwenyewe aamue kuachia ngazi au kwa shinikizo la mashabiki.wenger ni mtu powerfull pale arsena kwa mapindizi aliyoyaleta ndani ya timu.lakini timu isipopata mafanikio baada ya kwisha mkataba wake wa sasa ataondoka.kwa hiyo bado misimi mitatu ya kuwa na babu.itabidi tuvumilie maumivu
 
Manure bana yaani wao mpira wa kubahatisha wiki nzima watasimulia aibu! Wenzenu chacha tupo kwenye mambo ya CL nyinyi bado mnafikiri matokeo ya EPL baada ya kupata zawadi kutoka kwa kuwadi wenu wa brown envelopes ... ... ... ..get life!
 
237E829F00000578-2848899-image-26_1416925858430.jpg


Vijana walikuwa mazoezini rasmi kwa mtanange wa kesho na Borusia .... ...
 
237E0BF600000578-0-Wenger_in_training_on_Tuesday-19_1416924971562.jpg


Kama Kawa Le Prof haendi kokote hawa vikupe
hawatupi shida sisi COYG
 
Manure bana yaani wao mpira wa kubahatisha wiki nzima watasimulia aibu! Wenzenu chacha tupo kwenye mambo ya CL nyinyi bado mnafikiri matokeo ya EPL baada ya kupata zawadi kutoka kwa kuwadi wenu wa brown envelopes ... ... ... ..get life!

Weweeeee mpira sio mchezo wa kubahatisha kheeeeeeeeeeeeeeeeeee. Haiwezekani mchezo uchezwe dakika 45 watu wapumzike warudi tena dakika 45 ufungwe alafu useme wamebahatisha. Ingekuwa timu ikifungwa tu mpira unaisha hapohapo sawa
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom