Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jon Champion

"The final whistle is blown
arsenal win the match
3-0"
 
RRONDO usipotee Leo bhana Au usijifiche ukaja baada ya mpira...!

mkuu..naangalia mpira kibanda umiza,sina DSTV halafu jf naingia kwa kutumia pc sio simu. kwahio kuniona hapa ni mpaka mpira uishe labda niwe naangalia home CL kwa hisani ya TBC2 ndio nitakuwa jf kupiga porojo...kwahio usifikiri huwa nakimbia
 
Hakuna wakoloni waliyokuja hapa na wakatulazimisha kuvipenda hivi vilabu vya ulaya…bali sisi wenyewe tulianza kuvutiwa na kuanza kuipenda hii ligi miaka ile DTV,CHANNEL TEN na baadae DSTV walipoanza kutuonyeshea live.

Ila hizi dini tuliletewa…wengine walituletea hizi dini kwa kutumia mashuwa na wengine wakatuletea kwa meli.

utazunguka weee ila mwisho wa siku mpira na hio arsenal umeletewa na wakoloni,aidha kwa jahazi,meli,ndege,internet,tv ila ni product umeletewa na wakoloni
 
Jon Champion

"The final whistle is blown
arsenal win the match
3-0"

arsenal haijaifunga timu yoyote iliopo juu ya top 10 msimu huu.....katika mechi 14 zilizopita za mashindano yote arsenal kamfunga man utd mara moja tu! jiongeze.
 
arsenal haijaifunga timu yoyote iliopo juu ya top 10 msimu huu.....katika mechi 14 zilizopita za mashindano yote arsenal kamfunga man utd mara moja tu! jiongeze.

Manchester united imecheza ucl misimu 20 mfululizo jiongeze
 
Manchester united imecheza ucl misimu 20 mfululizo jiongeze

man utd imeshinda TWO UCL TITLES and ARSENAL has won ZERO UCL.....Arsenal has never beaten MAN UTD in UCL and man utd imeifunga arsenal at least mara mbili kwenye UCL. JITOE HUU MZIKI MNENE SHINDANA NA TOTTENHAM.
 
man utd imeshinda TWO UCL TITLES and ARSENAL has won ZERO UCL.....Arsenal has never beaten MAN UTD in UCL and man utd imeifunga arsenal at least mara mbili kwenye UCL. JITOE HUU MZIKI MNENE SHINDANA NA TOTTENHAM.

zilipendwa hizo
 
mkuu..naangalia mpira kibanda umiza,sina DSTV halafu jf naingia kwa kutumia pc sio simu. kwahio kuniona hapa ni mpaka mpira uishe labda niwe naangalia home CL kwa hisani ya TBC2 ndio nitakuwa jf kupiga porojo...kwahio usifikiri huwa nakimbia



Nimekusoma best...!
 
Naipenda Arsenal na nimeifia Arsenal…kwangu mimi Arsenal ni Dini…niko teyari kubadili hizi dini walizotuletea wakoloni na kuhamia kwenye dini nyingine,lakini siko teyari na haitokujatokea eti niihame Arsenal kwenda timu nyingine.Noo!

Ila linapokuja swala la Arsenal kucheza na Manchester United ushabiki na upenzi wote huwa naweka pembeni na naziaacha akili zangu zifanye kazi bila kuendeshwa na hisia…namaanisha LEO ARSENAL HATUWEZI au HAIWEZI KUIFUNGA MAN U…kwani Arsenal ikikutana na Man U ni kama mbwa kamuona chatu'hata kama Man U wakipanga kikosi cha pili ni lazima watufunge tu.

Ushindi wa Arsenal leo labda ni droo au tuombe Mungu mchezaji mmoja wa Man United atolewe kwa kadi nyekundu mapema sana tena kwenye kipindi cha kwanza na huenda tunaweza shinda…lakini hawa jamaa wakiwa kamili ni lazima tutachezea kichapo au tumejitahidi sana droo…TIME WILL TELL

Ilikuwa ni Fergie, sio Manchester iliyotufanya wateja. Fergie alimtawala Wenger, nina uhakika tukifungwa leo ni bahati mbaya na pia itakuwa sababu ya kama kawaida ya Wenger kutokujua jinsi ya kupanga wachezaji wake. Yeye atawaambia tu nendeni mkacheze, mambo ya mikakati, to hell. Naona kama itakuwa droo, na kwa rekodi ya Wenger, itakuwa point moja ya muhimu.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Usiwe na wasiwasi Mkuu Ntuzu, Timu yote ya Gunners lazima ishuke hapa leo kufurahia kichapo dhidi ya shetani wekundu, jiandae kuugua leo.

#InGunnersWeTrust



Pamoja sn Mkuu BAK

Nawatakia Heri zote ktk mchezo wenu wa Leo Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Leo Mkuu tukichapa mtu tatu bila, basi kibarua cha Van Girl kinaota manyasi, kikubwa katika mechi hii ya leo ni kuingia uwanjani kwa confidence ya kwamba YES WE CAN BEAT MANU na pia kuhakikisha tunapata at least goli mbili za haraka haraka kabla ya HT badala ya kusubiri yale magoli ya lala salama kwenye dakika za nyongeza. Umeuona uzi wetu Mkuu? Kama sikosei huu ndio utakuwa uzi wa kwanza hapa JF kuangaliwa na watu milioni moja, ule wa Kombe la dunia 2014 ulikaribia lakini haukuona ndani.

Pamoja sn Mkuu BAK

Nawatakia Heri zote ktk mchezo wenu wa Leo Mkuu.
 
Leo Mkuu tukichapa mtu tatu bila, basi kibarua cha Van Girl kinaota manyasi, kikubwa katika mechi hii ya leo ni kuingia uwanjani kwa confidence ya kwamba YES WE CAN BEAT MANU na pia kuhakikisha tunapata at least goli mbili za haraka haraka kabla ya HT badala ya kusubiri yale magoli ya lala salama kwenye dakika za nyongeza. Umeuona uzi wetu Mkuu? Kama sikosei huu ndio utakuwa uzi wa kwanza hapa JF kuangaliwa na watu milioni moja, ule wa Kombe la dunia 2014 ulikaribia lakini haukuona ndani.
BAK, najuwa umeisoma comment yangu ya utabiri pale juu lakini umeamuwa kunipotezea kwa kile nilichokisema.
Mkuu,najuwa labda upendi au ukupenda kile nilichotabiri pale juu…lakini huo ndiyo ukweli na utaamini maneno yangu baada ya mechi kwisha. All in all mie binafsi namuomba Mungu sana ili tushinde hii game leo…lakini ndiyo hivyo tena kwani timu yetu ikikutana na MAN U ni kama mbwa kwa chatu. PAMOJA DAIMA!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom