Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tutaonana half time mimi mechi kubwa kama hizi sitaki kukosa hata sekunde moja huvyo inabidi nitakafute mahali pa kukaa palipotulia, halafu nina midadi naweza kabisa kuitandika hii screen teke la nguvu halafu ikawa habari nyingine ha ha ha ha . Enjoy the game 🙂
 
Usitie shaka tunataka kuona good game ndani ya Emirates. Usisahau mchezo wa leo unaweza kufaidi kwenye 3D. Timu ndio zinatoka hivyo.

A WIN GAME FOR GUNNERS
 
Huyu refa vipi anasubiri kuambiwa afanye nini? Song kadi ya njano Stupid referee
 
Arshavin anaponzwa na ubinafsi,mara kadhaa Arsenal wangeshakuwa mbele,anataka yeye tu ndo afunge?aagh!
 
Thank you Fat Arse very classy goal.......funga hawa walevi, More wine hahahaha
 
Almunia anafaa kucheza cricket si football, safari kutoka kwenye 4 bora imeanza.....!
 
Arshavin atajuta sasa naona atajua nani ni nani...Mechi kama hizi nafasi za kufunga huwa chache.
 
Back
Top Bottom