truegooner
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 779
- 339
Wenger sijui ana mpango gani pale katikati.
.......unajiitafutia kipindu pindu bureee!....
#YouWant2BetMate ?
Duh! Nimesoma jinsi goons wanavyotia huruma hadi mbavu sina.
Mara oh Ozil hafai; Welbeck anahitaji muda zaidi; Wenger hafai; na porojo nyingi kama hizo.
Poleni sana goons. Nafikiri bado mnakumbuka ahadi yangu. Ngoja niwakumbushe tena:
"Arsenal wakishinda UCL msimu huu naacha kushabikia Man United na nahamia Arsenal".
Bado ahadi ipo pale pale.
Wenger ni balaa, sijui huwa anafikiria nini aisee. Yaani simuelewi kabisa sometimes.
So far mmejitahidi sana mlipaswa kupigwa si chini ya goli 5
2 down kazi tunayo ... ... ...
Unamuonaje huyu agent wetu Danny
Arsenal wakipita group stage nakunya mavi nakula.
Grand PA
Lakini bado nina imani katika hili kundi tunavuka.
Wachana nao hao wivu upo kwenye Kooo zao basi inawauma kweli Toka lini maiti anatowa pole wakati CL hayupo? Wengine tumeshinda game wanatamani kumuuwa refa hongera zao wamebania wameona waje huku kutoa pole.Sisi tutakuwaisha Mirembe huo ndio msaada wetu.
Hivi kwani ni lazima kila siku ozil aanze! nikweli MTU kama rosicky na oxlade ama fundi carzola hawawezi kucheza nafasi yake na ikanoga tu!aaaaargh
Yani unakuta hajitumi kwenye kukaba,anakua hayuko mchezoni kabisa,
Kwanini Wenger anamkumbatia sana?na mbona amemsahau Anko tom kabisa dah!
Duh! Nimesoma jinsi goons wanavyotia huruma hadi mbavu sina.
Mara oh Ozil hafai; Welbeck anahitaji muda zaidi; Wenger hafai; na porojo nyingi kama hizo.
Poleni sana goons. Nafikiri bado mnakumbuka ahadi yangu. Ngoja niwakumbushe tena:
"Arsenal wakishinda UCL msimu huu naacha kushabikia Man United na nahamia Arsenal".
Bado ahadi ipo pale pale.
Wachana nao hao wivu upo kwenye Kooo zao basi inawauma kweli Toka lini maiti anatowa pole wakati CL hayupo? Wengine tumeshinda game wanatamani kumuuwa refa hongera zao wamebania wameona waje huku kutoa pole.
poleni Ndugu zangu wa Humu kwa CL tunaongelea kwahiyo aliyekuwa hayupo CL sijui anatowa Pole ya nini Kama nyie msiba basi Maiti ni wao sijui Kama hii Weekday wanacheza???.
Acha kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa,ndugu zako kwenye lipi ?kwenye hayo mashindano wao ni wasindikizaji ndugu zao labda Man City na Spurs
He's worth £42m..... Acheni mzee Wenger ampange ti hivyo hivyo, BTW, si ndio kina sisi fans ambao tuling'ang'ania Wenger atumie pesa kununua top Quality player aachane na wachezaji wa bei nafuu?
You only get what you wish for mate!
Duh! Nimesoma jinsi goons wanavyotia huruma hadi mbavu sina.
Mara oh Ozil hafai; Welbeck anahitaji muda zaidi; Wenger hafai; na porojo nyingi kama hizo.
Poleni sana goons. Nafikiri bado mnakumbuka ahadi yangu. Ngoja niwakumbushe tena:
"Arsenal wakishinda UCL msimu huu naacha kushabikia Man United na nahamia Arsenal".
Bado ahadi ipo pale pale.