Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mmmmh,,,,,,sijui nilale tu, maana huu mpira tunaocheza haueleweki kabisa

kwa kweli lile goli ni uzembe wa hali ya juu..inakwaje mabeki wanashindwa hata kumwangusha halafu wanamsindikiza nusu uwanja mzima? enzi zetu tunacheza mwalimu alikuwa anakuwa refa na kiboko pale lazima ule fito safi hapo hapo ground.
 
Sioni BD kushinda hii mechi .... .... .. ... . Kipindi cha pili chetu.
 
kwa kweli lile goli ni uzembe wa hali ya juu..inakwaje mabeki wanashindwa hata kumwangusha halafu wanamsindikiza nusu uwanja mzima? enzi zetu tunacheza mwalimu alikuwa anakuwa refa na kiboko pale lazima ule fito safi hapo hapo ground.

mabeki wa arsenal mara nyingi huwa wazembe wazembe sana, na kocha Wenger sio mkali. Ndio maana makosa huwa ynajirudia,,,,,,,
 
Tukikwepa kipigo leo tutakuwa tuna bahati sana....

Ngoja tusubiri 2nd half tuone itakuwaje, kuna umuhmu wa Cazorla kuingia na Ozil kupumzika.
But all in all tukiweka Unazi pembeni jamaa walistahili kupata goli kwa kipindi cha kwanza so lets wait for the 2nd half tushuhudie itakuwaje.
 
Ngoja tusubiri 2nd half tuone itakuwaje, kuna umuhmu wa Cazorla kuingia na Ozil kupumzika.
But all in all tukiweka Unazi pembeni jamaa walistahili kupata goli kwa kipindi cha kwanza so lets wait for the 2nd half tushuhudie itakuwaje.

jamaa kweli walistahili kipindi cha kwanza kupata goli, tena sio moja,,,,
 
utafiti yaani acha tu aisee. Ningejua tutakuwa hivi nisingeangalia. Ila nina imani kipindi cha pili tutatawala mchezo.

Kweli Katavi wacha tujipe moyo ila hawa wajerumani leo wanatufanya tunaonekana kama hatutimii uwanjani
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom