Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger ni balaa, sijui huwa anafikiria nini aisee. Yaani simuelewi kabisa sometimes.

Wakuu mbona mna wasi wasi, kuna siku mpira unagoma ni one of those days we had been in a run of 15 matches bila kupoteza game, take it in your chins na tuwasubiri Emirates kama tutapoteza hii mechi.
 
4 place khe khe khe welbek kheeeeeeee khe khe khe!!!! Vp wakuu ozil hayupo? Sanchez je?Ateta! Kwel ars uozo
 
Baada ya muda mtamkubali.....
Welbeck tumpe muda.....
Mkuu Welbeck hahitaji muda, alikuwa hachezi kwenye ligi ya nje yupo EPL muda wote, wachezaji wanaopewa muda ni wale waliokuwa wanacheza ligi tofauti. He should refrain from media hype na kujiona bora (leo kakosa two clear chances) kwenye EPL na Manc alikosa sitter ... .... .. angalia Alexis muda gani amekuwa kwenye EPL?
 
Hongera kwa BVB Walistahili ushindi kutokana na jinsi walivyocheza.
Lets go to Colney to prepare for the next game
COYG.
 
Arsenal wakipita group stage nakunya mavi nakula.

Grand PA
 
Dah watu wengine kwa kujifariji utadhani ilikuwa Arsenal vs Manchester United UCL
 
Back
Top Bottom