Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwenye umaliziaji Giroud ni mzuri kuliko Wellbeck

Kama kuna mchezaji ambaye simpendi kwenye timu ya Arsenal basi ni Giroud...ni kheri uingie uwanjani wewe Belo kuliko hicho kidudumtu unachopendekeza.
 
Kama kuna mchezaji ambaye simpendi kwenye timu ya Arsenal basi ni Giroud...ni kheri uingie uwanjani wewe Belo kuliko hicho kidudumtu unachopendekeza.

halafu Wenger ndio anamuamini kwelikweli Giroud....
 
Naona Kuna washangiliaji wa BD toka Manchester . Majeruhi yametuharibia lakini tuna nafasi ya kuendelea toka hili kundi
 
Kama kuna mchezaji ambaye simpendi kwenye timu ya Arsenal basi ni Giroud...ni kheri uingie uwanjani wewe Belo kuliko hicho kidudumtu unachopendekeza.

Sio wewe tu mashabiki wengi wa Arsenal hawampendi Giroud but unategemea nini kama unanunua Sanogo na Wellbeck ndio wampe challenge Giroud.Giroud alipaswa awe striker wa pili lakini so far Wellbeck na Sanogo hawamfikii Giroud kwenye ufungaji
 
Naona Kuna washangiliaji wa BD toka Manchester . Majeruhi yametuharibia lakini tuna nafasi ya kuendelea toka hili kundi

Sababu sio majeruhi, Debuchy hata angekuwa OK asingecheza leo kutokana na red card labda useme Giroud. Wachezaji bado hawajacheza kwenye kiwango chao, Welbeck need to improve kesha kosa two goals so far ambazo alitakiwa kufunga ... ... . bado wanapasha joto tu ... ..... ... BD watakuja Emirates wala usitie shaka ... ... .. ...
 
Bora Pod aingie Arteta out ... ... Welbeck ... .... ..... ..... ...... . not a great night for him.
 
Sababu sio majeruhi, Debuchy hata angekuwa OK asingecheza leo kutokana na red card labda useme Giroud. Wachezaji bado hawajacheza kwenye kiwango chao, Welbeck need to improve kesha kosa two goals so far ambazo alitakiwa kufunga ... ... . bado wanapasha joto tu ... ..... ... BD watakuja Emirates wala usitie shaka ... ... .. ...

WELBECK!!khe khe khe tuliwauzia garasa mkuu
 
Back
Top Bottom