Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mi anayeniudhi sana ni Arsene Wenger. Wenger ni modern-football inept kabisaaaaaa, hana tactics, hajui anahitaji wachezaji gani wakati wa usajili, mbishi kusikiliza wattu!! aaaaaggrrrrrhhhhh!! Kwa mtindo huu tusiojifunza kutokana na makosa, niwe mkweli naogopa timu za counter attack tutakazokutana nazo Chelsea ikiwemo.
 
1410897030237_wps_34_Danny_Welbeck_of_Arsenal_.jpg


Welbeck is on his knees after missing Arsenal's best chance of the first half

 
Kesho tutawaona United mtakachofanya

Hao madogo, jumanne na jumatano usiku ni watu wazima, wao hawapo. Wenyewe mechi zao weekend mpaka weekend tu tena kabla jua halijazama. Hata alhamisi usiku hawaruhusiwi. Ila pamoja ya kwamba sisi tunacheza za watu wazima na usiku, ila sisi ndo tunaingizwa guest. Dortmund walituingiza guest wakaenda kutununulia na chips kisha kutufanya watakacho. Ni shiiiiiiiiiiiider!! Duh!
 
Mi anayeniudhi sana ni Arsene Wenger. Wenger ni modern-football inept kabisaaaaaa, hana tactics, hajui anahitaji wachezaji gani wakati wa usajili, mbishi kusikiliza wattu!! aaaaaggrrrrrhhhhh!! Kwa mtindo huu tusiojifunza kutokana na makosa, niwe mkweli naogopa timu za counter attack tutakazokutana nazo Chelsea ikiwemo.

nimekuona kule YNWA tena upo huku ! bila shaka wewe ni 'Man useless'
 
Ndio tulitaka atumie kununua top quality players, lakini ambao tulikuwa tunawahitaji. Ozil lazima tukili tulimnunua tu sababu ni top quality na alipatikana kwa muda huo mfupi, tukaona tumuwahi, lakini hatukuwa tunamuhitaji. Ni babu tu mahesabu yake yalienda ovyo. Hatukumuhitaji Ozil, nafasi yake Carzola alikuwa anaicheza vizuri sana, sasa hivi Carzola anakula benchi mpaka confidence imemuondoka. Carzola wa sasa si wa 2012.

soma;
......Cesc Fabregas: Arsene Wenger said he didn't need me at Arsenal

New Chelsea signing Cesc Fabregas admits that he spoke with Arsene Wenger about a return to his former club, but was told by the Frenchman he was not needed because he already has Mesut Ozil


Source; Cesc Fabregas: Arsene Wenger said he didn't need me at Arsenal | Mail Online


"Once Bitten, twice smitten!".....Mzee Wenger sijui pride inamsumbua? ....anyway, tusiseme mengi bure, kipindi kile kelele za WengerOut ziliposhika kasi, majority walimtetea kuwa he knows what he's doing!

Kama unakumbuka vizuri, partnership ya Fabregas na Flamini ilikuwa nzuri sana kabla Flamini hajaenda Italy, na kuondoka kwa Flamini ndio ikawa kuporomoka kwa kiwango cha Fabregas pia Arsenal.

Hata mimi nilimshangaa sana huyu mzee kumkataa Fabregas, japo tulikuwa na 1st Opt Clause kumrudisha Fab kundini. Leo hii tunabakia kum admire assists zake Chelsea, huku tunaugulia maumivu ya Ozil,....balaaa!
Anyway, "we win or lose.....Together we stand!"

Bila Fabregas, bila Van Persie, tumechukua FA Cup na Charity Shield,......We are the Gunners, we will bounce back!



 
Mi anayeniudhi sana ni Arsene Wenger. Wenger ni modern-football inept kabisaaaaaa, hana tactics, hajui anahitaji wachezaji gani wakati wa usajili, mbishi kusikiliza wattu!! aaaaaggrrrrrhhhhh!! Kwa mtindo huu tusiojifunza kutokana na makosa, niwe mkweli naogopa timu za counter attack tutakazokutana nazo Chelsea ikiwemo.


Sasa hivi mahesabu hasubuhi. EPL na UCL hamna chenu. Ikifika january mmechakazwa tayari.

Siioni arsenal ya kubeba kombe msimu huu.
 
BAK upo??

Msalimie ndugu zangu [MENTION=154255]rubaman na Wacha1
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Sasa hivi mahesabu hasubuhi. EPL na UCL hamna chenu. Ikifika january mmechakazwa tayari.

Siioni arsenal ya kubeba kombe msimu huu.

Inaniuma, ila sina budi kukubaliana nawe. Kocha hatuna. Tuna director of finance ktk mambo ambayo hayahusiani na moja kwa moja na kucheza mpira kiwanjani. Wenger yuko sooo out of touch with the current games, always outsmarted by young managers. Tulivyopigwagwa nane na Manu, sita na Mancity, tano na liver, sita na chelsea, walitumia very same tactics, Pressing us high up the pitch na kutufanyia counter attacks za kufa mtu. Wenger hajajifunza kitu hapo. Bado anatumia tactics hizo hizo tulizoangamizwa. Jana ilitakiwa yawe maafa mengine. Tuna bahati arsenal. Amemuaharibu Ozil, kamuharibu Arteta (sio yule wa Everton), anamuharibu Podolsi, Carzola na anawakumbatia kina Wilshire, Szeschey!! Sioni tukichukua kombe kubwa tukiwa na wenger. Tutaishia Carling cup na labda FA kama tuna bahati kwenye draw kukwepa timu kubwa.
 
nimekuona kule YNWA tena upo huku ! bila shaka wewe ni 'Man useless'

YNWA ndo wapi??? Mi ni Arsenal damu toka enzi za Ian wright. Miaka ya 1998, nikiwa dogo kabisa enzi hizo! Huko YNWA eidha umenimix na mwingine au uliniquote vibaya. Ian Wright ndo alinivuta Arsenal, Henri akaja pigilia msumari. Wachezaji hawa ndo walinivuta Arsenal: Seaman, Dixon, Winterburn, Bould, Adams, Viera, Petit, Wright/ Anelaka/ Henri, Overmarz, Berkamp nk. Hili chama hakukuwaka na stress, stress ilikuwa kama dk 45 za kwanza bado mtu hajakalishwa. Alikuwa hatoki mtu. Kisha The Invincibles. Dah! Niko nolstagic hapa, remembering good old days. Ni Arsenal all the way, hamna chembe za Manu ndani yangu. Gooner till I die no matter what!! Nafikiri yule manager wetu Graham alikuwa ni monster. Ye ndo alimuandalia ukuta usiopenyeka Wenger kabla hajaondoka. Sasa hivi babu hajielewi na defence. Stori hii yote ni kukuthibitishia mi Arsenal, usinivute huko.
 
soma;

"Once Bitten, twice smitten!".....Mzee Wenger sijui pride inamsumbua? ....anyway, tusiseme mengi bure, kipindi kile kelele za WengerOut ziliposhika kasi, majority walimtetea kuwa he knows what he's doing!

Kama unakumbuka vizuri, partnership ya Fabregas na Flamini ilikuwa nzuri sana kabla Flamini hajaenda Italy, na kuondoka kwa Flamini ndio ikawa kuporomoka kwa kiwango cha Fabregas pia Arsenal.

Hata mimi nilimshangaa sana huyu mzee kumkataa Fabregas, japo tulikuwa na 1st Opt Clause kumrudisha Fab kundini. Leo hii tunabakia kum admire assists zake Chelsea, huku tunaugulia maumivu ya Ozil,....balaaa!
Anyway, "we win or lose.....Together we stand!"

Bila Fabregas, bila Van Persie, tumechukua FA Cup na Charity Shield,......We are the Gunners, we will bounce back!




Dah! Yaani alitaka kabisa kurudi nyumbani babu akamfungia mlango! Angemchukua tu hata kama anadai Ozil yupo. Tungekuwa na squad kubwa zaidi. Alafu INANIUMA sana ninapomuona ndani ya uzi wa Chelsea akipiga ma-assists. Ila ndo mambo ya hindsight haya, tungejua.
 
Yaani ndugu yangu tukikutana na timu kubwa ndo tutegemee haya, na hasa tukikutana na timu yenye counter attck nzuri kama Madrid au Chelse, itakuwa balaa. Leo tungeweza pigwa hata tano. Wenger bado yupo miaka ya arobaini na saba. Mambo yamebadilika. Wachezaji wote tulionao wa kushambulia, kama defence na defensive midfield hamna, ni kutwanga maji kwenye kinu. Kazi ipo.
Ndo kwanza Wenger kasign hadi 2017..... kazi tunayo bado!!!!
 
YNWA ndo wapi??? Mi ni Arsenal damu toka enzi za Ian wright. Miaka ya 1998, nikiwa dogo kabisa enzi hizo! Huko YNWA eidha umenimix na mwingine au uliniquote vibaya. Ian Wright ndo alinivuta Arsenal, Henri akaja pigilia msumari. Wachezaji hawa ndo walinivuta Arsenal: Seaman, Dixon, Winterburn, Bould, Adams, Viera, Petit, Wright/ Anelaka/ Henri, Overmarz, Berkamp nk. Hili chama hakukuwaka na stress, stress ilikuwa kama dk 45 za kwanza bado mtu hajakalishwa. Alikuwa hatoki mtu. Kisha The Invincibles. Dah! Niko nolstagic hapa, remembering good old days. Ni Arsenal all the way, hamna chembe za Manu ndani yangu. Gooner till I die no matter what!! Nafikiri yule manager wetu Graham alikuwa ni monster. Ye ndo alimuandalia ukuta usiopenyeka Wenger kabla hajaondoka. Sasa hivi babu hajielewi na defence. Stori hii yote ni kukuthibitishia mi Arsenal, usinivute huko.

.......duuuh ! pole mkuu, nilikuwa nam-quote dogo mmoja anajita Grand PA
 
Back
Top Bottom