Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Inaniuma, ila sina budi kukubaliana nawe. Kocha hatuna. Tuna director of finance ktk mambo ambayo hayahusiani na moja kwa moja na kucheza mpira kiwanjani. Wenger yuko sooo out of touch with the current games, always outsmarted by young managers. Tulivyopigwagwa nane na Manu, sita na Mancity, tano na liver, sita na chelsea, walitumia very same tactics, Pressing us high up the pitch na kutufanyia counter attacks za kufa mtu. Wenger hajajifunza kitu hapo. Bado anatumia tactics hizo hizo tulizoangamizwa. Jana ilitakiwa yawe maafa mengine. Tuna bahati arsenal. Amemuaharibu Ozil, kamuharibu Arteta (sio yule wa Everton), anamuharibu Podolsi, Carzola na anawakumbatia kina Wilshire, Szeschey!! Sioni tukichukua kombe kubwa tukiwa na wenger. Tutaishia Carling cup na labda FA kama tuna bahati kwenye draw kukwepa timu kubwa.
Asante kwa kuona hilo, nakupongeza kwa kuona udhaifu wa team yako, sio wale wengine wanaofurahia tu bila kujua technicality ya timu.
Kocha wa kubadilisha, EPL ya miaka hii sio ile ya kuchukua msimu mzima unbeaten, mambo yanabadilika if you cant spend in the market show us how well you can organise your team kama jurgen klopp.
You need proactive coach.
C.C BAK rubaman Nzi Wacha1 RRONDO privacy Ngongo @mndenereko
Last edited by a moderator: