Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
watakuja kujuta kumuachia
Kama mnavyojuta kuwaachia kina Fabregas,RVP,Nasri
watakuja kujuta kumuachia
Kama mnavyojuta kuwaachia kina Fabregas,RVP,Nasri
Febregas nope. . Vanpersie Yeh .. sana tena naumia akipiga mabao matamu
Cesc yupo Chelsea now nae atakuja kumtengenezea magoli Diego Costa wakija Emirates
![]()
![]()
There is only one prof .... .... .... .... COYG
Duh Arsenal mulipofikia ni pabaya kweli, yani mpaka mtu anaona haibu kujisema Club yake? Simchezo!!!mimi ni man utd lakini nimesikitika sana WELBECK kuondoka,huyu dogo atakuja kuwa success sana arsenal na man utd tutajuta kumuuza! hakuwa mfungaji sana man utd kwasababu alikuwa hachezeshwi sana na hata akichezeshwa anafanywa workhorsed kukakaba sana na ku harrass mabeki....kama atapewa nafasi kama anavyopewa sanogo WELBECK atafunga sana hapo arsenal....ana speed sana na ni mzuri wa one-twos
Wakuu wa Gunners kuna mtanange wa ladies leo ......... against Notts County ... .. ..
![]()
![]()
Alex Scott
Enjoy ... ... ... .
u better enjoy that coz its ur only chance to win a league title!!!!!!!!!!!!!