Sijapita hapa siku nyingi lakini kwa kauli hii imebidi nicheke sana kwa sauti, hadi hapa geto wanashangaa nacheka nini! 😛ound:Dah tumekwisha yaani tunachukuwa mayai viza ya Man United wakati kina Facao wanatupita
Hivi tatizo la Man U ni mshambuliaji au safu ya ulinzi pamoja na DM???....
Nakushangaa unaposema AW ni agent wenu...Kwani Falcao alikuwa Arsenal?
![]()
Wakuu Danny Welbeck kutoka Man Utd anafanyiwa Medical at Emirates jioni hii.
Mshambuliaji huyu ambae pia ni mshambuliaji wa timu ya taifa ya England, ana umri wa miaka 23.
Huyu Welbeck anachukuliwa na Arsenal baada ya Arsenal kushindwa kumchukua Ramadel Falcao na Javier Hernandez ambae amekwenda Real Madrid kwa mkopo.
Dili la Falco likuwa ni kubwa mno karibu paundi milioni 55 na Man Utd watakuwa wanamlipa paundi milioni 6 kwa mwaka mhcezaji huyo juu ya ada kamili ya paundi miloini 50.
Dah tumekwisha yaani tunachukuwa mayai viza ya Man United wakati kina Facao wanatupita
He is believed to have agreed a deal worth £340,000-a-week
Mimi naamini Danny Welbeck atafunga magoli mengi tu kutoka supply line ya midfielders wa Arsenal na yupo sawa katika kupata na mazingira yoyote yale ya uchezaji.
Labda tu watu waseme hakuwa first choice, Yes Falcao alikuwa chaguo la kwanza na imeshindikana hiyo ndio maana ya dirisha la usajili kuwa wazi hadi mwisho.
[/FONT][/COLOR]
.......Mnh, maazzeeee £340,00 per week sio mchezo baba'ke!
acha tu mzee Wenger apanguae deal, BTW....Falcao mwenyewe 'mgonjwa mgonjwa!'😛op2:
Huyu mzee!! Yaani katika washambuliaji wote duniani ameona huyu Shaba Ranks ndiye anayetufaa!!!
![]()
Wakuu Danny Welbeck kutoka Man Utd anafanyiwa Medical at Emirates jioni hii.
Mshambuliaji huyu ambae pia ni mshambuliaji wa timu ya taifa ya England, ana umri wa miaka 23.
Huyu Welbeck anachukuliwa na Arsenal baada ya Arsenal kushindwa kumchukua Ramadel Falcao na Javier Hernandez ambae amekwenda Real Madrid kwa mkopo.
Dili la Falco likuwa ni kubwa mno karibu paundi milioni 55 na Man Utd watakuwa wanamlipa paundi milioni 6 kwa mwaka mhcezaji huyo juu ya ada kamili ya paundi miloini 50.
Wellbeck ni squad player mzuri na workrate yake ni kubwa but ni mbovu sana kwenye ufungaji.Arsenal mnahitaji striker ambaye yuko vizuri kwenye umaliziaji so far mnatengeneza nafasi nyingi sana(Ramsey,Carzola,Ozil,AOX,Sanchez,Wilshere,Rosisky) but Giroud/Sanogo sio wazuri sana kwenye umaliziaji the same applied to Wellbeck
teh teh teh..wal'dhai..Huyu mzee!! Yaani katika washambuliaji wote duniani ameona huyu Shaba Ranks ndiye anayetufaa!!!
Sijapita hapa siku nyingi lakini kwa kauli hii imebidi nicheke sana kwa sauti, hadi hapa geto wanashangaa nacheka nini! 😛ound:
Hujanielewa mkuu rubaman anaelewa atakusaidia ,in short mafanikio ya Man United kwa kiasi fulani yamechangiwa sana na Wenger.Now anatusaidia kufanya overhaul ya kikosi chetu,kumbuka kuna kipindi alikuwa anamtaka Cleverley
Kipindi ambacho tulikuwa tunajizatiti kuwacheka na kuwabeza Man Utd, Wenger anawapa Man Utd ammunitions za kutucheka kama enzi za Silvestre. I hope Welbeck fails Medical na kukataa payment terms