Heri yenu babu kafunga kibubu tayari na hataki stress...
Hiyo picha ameonekana Heathrow Airport anaelekea Roma kuwa refaree katika match ya Charity.
Mzee karidhika na SANOGO wake tabu iko wapi!!
View attachment 181998
![]()
Wakuu Danny Welbeck kutoka Man Utd anafanyiwa Medical at Emirates jioni hii.
![]()
Wakuu Danny Welbeck kutoka Man Utd anafanyiwa Medical at Emirates jioni hii.
Mshambuliaji huyu ambae pia ni mshambuliaji wa timu ya taifa ya England, ana umri wa miaka 23.
Huyu Welbeck anachukuliwa na Arsenal baada ya Arsenal kushindwa kumchukua Ramadel Falcao na Javier Hernandez ambae amekwenda Real Madrid kwa mkopo.
Dili la Falco likuwa ni kubwa mno karibu paundi milioni 55 na Man Utd watakuwa wanamlipa paundi milioni 6 kwa mwaka mhcezaji huyo juu ya ada kamili ya paundi miloini 50.
Dah tumekwisha yaani tunachukuwa mayai viza ya Man United wakati kina Facao wanatupita
Dah tumekwisha yaani tunachukuwa mayai viza ya Man United wakati kina Facao wanatupita
Nilishakwambia Wenger ni agent wetu
lakini mkuu huyu Welbeck ni mshambuliaji bora kuliko Yaya Sanogo.
Wote wapo katika kundi moja hawa, tofauti ni kuwa Welbeck kashafunga magoli EPL,Europe na International. I stand to be corrected
Nilishakwambia Wenger ni agent wetu