Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii game inayofuata kati ya Everton na Chelsea itakuwa ni ya kuvuta nikuvute. Draw ya 0-0 itakuwa poa zaidi.
 
Hii game inayofuata kati ya Everton na Chelsea itakuwa ni ya kuvuta nikuvute. Draw ya 0-0 itakuwa poa zaidi.

Ha ha ha ha.....,we jidanganye tu nadhanijua nini kinachoendele costaaaaaa....... Noma sana kila game anashinda ndo mfungaji bora epl 2014/2015
 
Hii game inayofuata kati ya Everton na Chelsea itakuwa ni ya kuvuta nikuvute. Draw ya 0-0 itakuwa poa zaidi.
BAK naona unatamani ufute comment
 
Last edited by a moderator:
Prof bado kaficha karata zake yupo busy na mechi ya leo .... .... .. COYG


BTW kuna jamaa wanachema "If you look at Man City, if anything happens to Edin Dzeko, they bring in Alvaro Negredo. Arsenal haven't got that." Chacha jana walikuwa wapi hao wafungaji .... ..... ... vijitu vingine kwa pumba!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
ImageUploadedByJamiiForums1409495302.529286.jpg
............#COYG !!!!!!!!!!

Together We Stand!
 
Arsenal team: Szczesny, Debuchy, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Flamini, Ramsey, Cazorla, Ozil, Alexis, Sanogo

Subs: Martinez, Chambers, Rosicky, Campbell, Wilshere, Oxlade-Chamberlain, Podolski
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Haya haya first XI ni kama ifuatavyo.
Sczeny Langoni.
Derbuchy, koscielny, Martesacker Monreal ukuta wakati kiungo kuna
Flamin, Ramsey mbele yao kuna
Sanchez, Ozil Cazorla na mbele kabisa kuna Sanogo.
Subs:
Martnez, Chambers, Rosiscky, Campbel, poldosk, Ox na welshere.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom