Viper, vipi mkuu mzima? Lete habari, vipi vijimambo? COYG
Sanogo anazingua sometimes
Anazingua nini wakati katengeneza goli. Wapenzi wa Arsenal sometimes mnaniumiza kichwa kutwa kulalamikia wachezaji wetu.
Umepanick man tulia
Kupanic? Mbona tunatumia vitu visivyo, ntapaniki vipi wakati sipo katika situation ya kunipanikisha? Hili jambo la kulaumu wachezaji sijalisikia katika JF tu, kuna forums nyingi online naona wapenzi wa Arsenal wanamlalamikia mchezaji mmoja hadi mwingine. Ramsey, Giroud, Sanogo, Ozil hata wakiangalia pembeni wanalalamikiwa. Hawa ni binadamu huwa wana siku nzuri na mbaya, sio mashine zinazoendeshwa kwa mafuta au umeme. Inachosha, support team mkuu