GossipGirl
Member
- Aug 25, 2013
- 77
- 19
i just remember dat moyes won only Community
shield last season
shield last season
Naomba Leo uwaorodheshe Gunners wenzako ili wakianza kukimbilia MMU tuwatafute
kwani nyie mna miaka mingapi bila ucl?Wacha fujo wewe Loserfools mna miaka mingapi hata hamjaonja EPL? Ukweli ndio huo Gunners baada ya kumaliza deni la Emirates wapo on the up upende usipende huo ndio ukweli.
Naomba Leo uwaorodheshe Gunners wenzako ili wakianza kukimbilia MMU tuwatafute
Mkuu hatimaye msimu umeanza tena, tujongee jukwaani.Hahahahaaa
Mkuu upo? We Ni gunners nini?
Aya bhana Hongera zenu!
Wapi jamaa zangu kina Sinziga Ng'wamapalala Katavi Na gunners WOOOTE?!
Hongereni wakuu!
Sisi wazee Wa the blues tupo Na mkongwe wetu Drogba! Imekaa pouwa sn hiyo!
Acha maneno mengi subiri dk 90 ziishe
Mkuu unajua fika #TeamArsenal huwa hatukimbii jukwaa letu hata kama tumeadhirika tofauti na wale wa majukwaa mengine ambao wakipata kipigo basi jukwaani wanazima taa na kufunga milango yote kwa siku kadhaa hata visitors wakija wanakuta wenyeji hawapo na jukwaa linakuwa halina uhai kabisa.
Wanaokimbia wanajulikana na wanaobaki wanajulikana,ukifika wakati tutaanza kuwatafuta kule MMU
Wanaokimbia wanajulikana na wanaobaki wanajulikana,ukifika wakati tutaanza kuwatafuta kule MMU
#TeamArsenal #InGunnersWeTrust
Wenger kasema kamaliza kusajili, kikosi kimejitosheleza
Kama hizi ni habari za kweli, huyu mzee ndo anapochemkaga. Akishinda mechi za majaribio, hizi ndogo ndogo, hupofuka. Tuna kikosi kizuri kwa msimu huu (Arsenal), na alisema kuwa bado hajamaliza kusajili. Sasa kama ushindi wa jana dhidi ya Mancity iliyokuwa na reserves wengi imembadilisha mawazo kuwa kikosi ni kizuri sana, tutabugi tena. Safari hii ushindani ni mkubwa zaidi. Tunaitaji kikosi kikubwa.
Ngoja tuwapige 8-0 asajili dirisha la january
Wenger kasema kamaliza kusajili, kikosi kimejitosheleza
View attachment 176610
Hata moyes aliibeba , sioni kitu cha kuwafanya kujitoa fahamu